Jukumu lako ni nini? Kufanya tu mapenzi?Hata hiyo kuosha kesho Bado nimekupendelea sanaa, kuosha vyombo sio jukumu langu , tafuta mtumishi aoshe
Sio lazima ni hiyari kama unaweza kujizuia usizini.Kuna dada jirani yangu hapa,analima kwa mkono,kama kibarua na mashamba ya familia yake....
Anasema anafanya yote hayo kupambania ada ya watoto shule...
Ana watoto sita....mumewe kazi yake ni kuzungusha kende hapa na pale.
Bas mie natazama tu...
Hivi kuolewa ni lazima sana eti wandugu?
Wapi palipoandikwa kwa kuishi kwa wema ni kutomtukana mke mtaa mzima? Maana ndiyo maswali yako haya kama vile kila jambo tunalofanya limeandikwa mahali.Ipo ilipoandikwa.
" Ni kuishi kwa wema au kutengana kwa wema".
Kuishi kwa wema ni kukutukana mbele za watu!??
Mbona watu wanabamizana sana kabla ya ndoa...kumbe ni kosa?Sio lazima ni hiyari kama unaweza kujizuia usizini.
Mahitaji ya ndani ndo yapi?Kuzaa na kulea watoto na kutimiza mahitaji yangu na Yako ya ndani.
Kuosha vyombo haipo
Mada yangu sio kutogawana majukumu Bali kumkashifu mtu kwakule kukosea katika kufanya huo mgawanyo wa majukumu.Nina mashaka mtoa mada yupo single
Hakuna Mwanamke aliyeolewa akaja na malalalamiko ya namna hii.
Mbona mgawanyo wa majukumu upo wazi miongoni mwa Wanafamilia??
say no more......Yaani wanaume wengi wakioa wanadhani wameoa watumishi. Yaani kuosha vyombo, kupika , kufua ndo majukumu yake hayo yalomleta, ikitokea yamefanywa tofauti umekosea basi utanangwa mtaa mzima kama vile mwisho wa mwezi Huwa anakulipa.
Ukiona mke hajui kufua, si ufue mwenyewe mikono huna!?.
Hajui kupika pika mwenyewe.
Umekabidhiwa mke na Sio mtumishi. Ishi nae kwa heshima, ikitokea kakosea kufanya kazi husika mueleweshe kwa upole na kwa staha sio kumtangaza mtaa mzima hizo ni kashfa.
Kazi wazifanyazo wake zenu ni Ihsani na upendo wao kwenu sio jukumu lake hilo, yaani mtu unajitolea na Bado unakashfiwa.
Na mimi nikuulize unajua maana ya majukumu ya mke kwenye familia?Labda tukuulize... Unajua maana ya wema!?.
bata waheed weweKwani hali? Akiumwa hatibiwi? Vyote anatakiwa kuvilipa kwa kufanya kazi kama punda
Tulia dawa ikuingie. Mwanamke ukitaka kuishi vizuri bila kutumikishwa hakikisha umeenda shule na unajiweza kiuchumi. Kitendo cha kumyegemea mtu mwingine ndio ule tayari ni utumwa nilazima ufanye anavyotaka yeye iwe nikizuri au kibaya. Hapa unaweza kubisha?bata waheed wewe
Anakula kwao? Basi alikuwa natumikishwa kama mtoto ndio ale kwa wazazi wakeHajaolewa kwaajili ya kula, hata kwao alikuwa anakula na kutibiwa.
Yaani kwanini umtukane mtu wakati unaweza kuongea nae kimya kimya. Kakushinda mrudishe kwao , kwani umekazimishwa uendelee nae.Na mimi nikuulize unajua maana ya majukumu ya mke kwenye familia?
Shida ufeminist umewapumbaza. Rais wako mwenyewe na cheo alichonacho anakwambia akiwa kwake anampikia hadi mumewe na wala si jambo la kumshusha wala nini. Unakuta mtu ambaye anatukanwa mtaa mzima anajikuta kumpikia mmewe anadai si jukumu lake, lakini mmewe kumpa matumizi basi ni jukumu la mume.
Hapana kuolewa siyo lazima kwa zama hizi mwanamke kama wewe unaweza kufikisha hata miaka 50 na kwenye maisha yako hakuna mwanaume aliejaribu hata kujitambulisha kwenu kuwa anataka akuoe kwahiyo kuolewa siyo lazima kuchezewa ndo lazimaKuna dada jirani yangu hapa,analima kwa mkono,kama kibarua na mashamba ya familia yake....
Anasema anafanya yote hayo kupambania ada ya watoto shule...
Ana watoto sita....mumewe kazi yake ni kuzungusha kende hapa na pale.
Bas mie natazama tu...
Hivi kuolewa ni lazima sana eti wandugu?