nimesha kalibia pm kwako
๐Kwanza kula ndo lazima kuoga hiyari
Pesa tutoe,, mara mtufokee tuwe romantic na kuoga mtulazimishe? Hapanaa[emoji23]Kwanza kula ndo lazima kuoga hiyari
๐๐ela si mnatafuta Kwa ajili yetu kuoga ni hiyari yenu wenyew๐Pesa tutoe,, mara mtufokee tuwe romantic na kuoga mtulazimishe? Hapanaa
Sent from my LND-L29 using JamiiForums mobile app
๐๐๐๐๐Pesa tutoe,, mara mtufokee tuwe romantic na kuoga mtulazimishe? Hapanaa
Sent from my LND-L29 using JamiiForums mobile app
Kwenye uromantic hapa naunga mkono hoja๐๐ถPesa tutoe,, mara mtufokee tuwe romantic na kuoga mtulazimishe? Hapanaa
Sent from my LND-L29 using JamiiForums mobile app
๐๐Itakuwa ndo ulopishana na dada njiani ๐
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Itakuwa ndo ulopishana na dada njiani [emoji2]
Si amesema๐๐๐[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Achana na hilo jianaume linalonuka,na hela zake liachie...๐๐๐๐Morning
Wanaume acheni uchafu yaani unakutana na jianaume hajaoga na wiki mbili ananuka halafu anakazana kujipulizia perfume, mkikataliwa mnaaza kusema wanawake wanajishaua.
Mwanaume kuwa msafi nyoosha basi hata shati lakini shati unakuta limekunjamana kama limetoka mtumbani.
Kazi njema jirekebisheni.
Hatuogi, hatuwi romantic na hakun kitu mtafanyaKwenye uromantic hapa naunga mkono hoja[emoji23][emoji124]
Hahha tutaanza kukaa na viboko jion tunawakagua๐Hatuogi, hatuwi romantic na hakun kitu mtafanya
Tutakuwa tunalala bar[emoji16]Hahha tutaanza kukaa na viboko jion tunawakagua[emoji23]