Wanaume acheni uchafu

Wanaume acheni uchafu

umenikumbusha ule msemo unasema... ndege wafananao huruka pamoja...siku zote kunguru hawezi kuruka na njiwa, kama ulifatwa na mtu wa hivyo inaonesha muonekano wako ulikuwa ni vitu vyake na hadhi yake. NYOTE MJIREKEBISHE.
Koma
 
Duh! Amekua mkali kidoho Huyu mtu..... Samahani kwa niaba ya huyo mwenzetu.. Ataelezwa mama ili ajirekebishe
 
Stress mbaya sana...😂😂

Threads kama hizi huwa nazisoma kwa sauti ya Amber Rutty au wale wadada wanaotaka mahari milioni 100...
 
Morning

Wanaume acheni uchafu yaani unakutana na jianaume hajaoga na wiki mbili ananuka halafu anakazana kujipulizia perfume, mkikataliwa mnaaza kusema wanawake wanajishaua.

Mwanaume kuwa msafi nyoosha basi hata shati lakini shati unakuta limekunjamana kama limetoka mtumbani.

Kazi njema jirekebisheni.
Achana na hilo jianaume linalonuka,na hela zake liachie...😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom