ogopa mwanamke ambaye hana bwana/mume hana kazi unayoiona anafanya,kuna mmmoja lilimwelewa simu sasa....sijui za uongo ni jizi tu lile...nawahi kwenye kikao mimi ndio muhasibu....mara nawahi nyumbani mama ananipigia...siku nikamkomalia kaa hapo nashusha konyagi na bia mbona alishinda hapo hapo...alipotoka akaiba nakuiba... eti piss kali haina kazi...we hogopi?