Wanaume: Ebu jaribu "simple dress code" hizi siku, Ujione utatokaje!

Wanaume: Ebu jaribu "simple dress code" hizi siku, Ujione utatokaje!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Ushawahi jiuliza siku nitoke vipi? Au kila siku unavaa style moja ya mavazi hadi watu washakuzoea? Sasa kuna hizi dress code tano (5) siku unaweza kuzijaribu.

1. Kuchomekea jeans na shati mikono mirefu.

Hii inakua casual outfit, mfano unaenda kazini au mtoko wa kawaida. Tafuta shati la mikono mirefu, draft au mistari mistari, na jeans lako slim fit, isiwe oversized au ya kubana sana, chini vaa casual shoes.
images (8).jpeg

images (9).jpeg

Kutegemea hali ya hewa unaweza kuongezea na coat.

Hii inawapendeza wanaume wa lika zote, kuanzia vijana, makamo hadi wazee.

Kikubwa ni uchaguzi wa jeans sahihi, na shati liwe simple achana na lenye marangi rangi au maneno ya brands.

2. "Shirt over T-shirt"

Hii nayo nzuri ya weekend. Kwa vijana wa kwenye early au late 20s na 30s.

Tafuta t-shirt inayokufit vizuri, nyeupe au light color yoyote, kisha kwa nje unavaa shati bila kufunga vifungo. Shati la draft au mistari linakupendeza zaidi, na kama possible liwe zito la cotton.

images (10).jpeg
images (11).jpeg
main-qimg-9ef5759f8ff56d7d61fb6067c446aced-lq.jpeg


Hii combo inapendeza na jeans ukivalia kwa chini, na angalia pia matching ya rangi ya shati na t-shirt.

Ukivaa hivi tembea kwa confidence na jotahidi sana usibebe bag (backpack) linaharibu muonekano.

3. Traki na T-shirt na raba

Hii ni kwa mitoko ya vijana hadi wazee, ila special occasions kama vile beach, umeenda Taifa kucheki mpira, au weekend flani.
images (13).jpeg
images (14).jpeg

Hapa utavaa track isiokubana sana wala isiwe oversized sana, juu vaa tshirt na raba (au sendo kama utapendelea).

images (12).jpeg

Oversized kama hii sio tamu sana ila kama utaipenda sawa ila kwangu No.

Ukiwa beach kama mwili unaruhusu, unaweza kuvaa na vest, ila usivae mtaani au kutoka nje ya kwako. Utakera watu.

4. Jackets: Denim Jeans au Bomber?

Kama hali ya hewa inaruhusu, jaribu kua na moja wapo ya aya makoti. Yanaenda na nguo za aina nyingi sana.
Mfano, Denim Jeans jacket zinaenda na t-shirt na jeans za rangi mbalimbali, ila usivae full jeans. No.
yishion-denim-e1641369841248.jpg


Bomber jackets aka Flight jackets pia zinaweza kukufanya upendeze.

maden-e1641369743283.jpg


Kwenye majacket, angalia halia ya hewa na nguo autakayovaa kwa ndani na chini. Usijitese na makoti wakati kuna hali ya hewa ya jua kali.

5. Jaribu kuvaa saa.

Hapa ata nisiongee sana, ila uwe angalau na saa pair mbili au tatu. Chronograph ya mikanda ya chuma na ya ngozi, na smartwatch au kimulimuli kimoja. Tosha.

NB:

Usiangalie wa online ndio ukaiga walivovaa, tunatofautiana maumbo, urefu na rangi. Utatoka kama zombie.

images (16).jpeg


Ukivaa vaa kiume, mtu akikuona tu anajua yule ni mwanaume.

images (17).jpeg


Usioverdress, usivae nguo nyingiii na zisio na maana.
images (18).jpeg


Na mwisho, ukiamua kuvaa like crazy, uwe crazy kwelikweli, ila kwenye special occasions.

annwwz9P_700w_0.jpg
 
Ushawahi jiuliza siku nitoke vipi? Au kila siku unavaa style moja ya mavazi hadi watu washakuzoea? Sasa kuna hizi dress code tano (5) siku unaweza kuzijaribu.

1. Kuchomekea jeans na shati mikono mirefu.

Hii inakua casual outfit, mfano unaenda kazini au mtoko wa kawaida. Tafuta shati la mikono mirefu, draft au mistari mistari, na jeans lako slim fit, isiwe oversized au ya kubana sana, chini vaa casual shoes.
View attachment 3003744
View attachment 3003743
Kutegemea hali ya hewa unaweza kuongezea na coat.

Hii inawapendeza wanaume wa lika zote, kuanzia vijana, makamo hadi wazee.

Kikubwa ni uchaguzi wa jeans sahihi, na shati liwe simple achana na lenye marangi rangi au maneno ya brands.

2. "Shirt over T-shirt"

Hii nayo nzuri ya weekend. Kwa vijana wa kwenye early au late 20s na 30s.

Tafuta t-shirt inayokufit vizuri, nyeupe au light color yoyote, kisha kwa nje unavaa shati bila kufunga vifungo. Shati la draft au mistari linakupendeza zaidi, na kama possible liwe zito la cotton.

View attachment 3003750View attachment 3003752View attachment 3003753

Hii combo inapendeza na jeans ukivalia kwa chini, na angalia pia matching ya rangi ya shati na t-shirt.

Ukivaa hivi tembea kwa confidence na jotahidi sana usibebe bag (backpack) linaharibu muonekano.

3. Traki na T-shirt na raba

Hii ni kwa mitoko ya vijana hadi wazee, ila special occasions kama vile beach, umeenda Taifa kucheki mpira, au weekend flani.
View attachment 3003759View attachment 3003760
Hapa utavaa track isiokubana sana wala isiwe oversized sana, juu vaa tshirt na raba (au sendo kama utapendelea).

View attachment 3003762
Oversized kama hii sio tamu sana ila kama utaipenda sawa ila kwangu No.

Ukiwa beach kama mwili unaruhusu, unaweza kuvaa na vest, ila usivae mtaani au kutoka nje ya kwako. Utakera watu.

4. Jackets: Denim Jeans au Bomber?

Kama hali ya hewa inaruhusu, jaribu kua na moja wapo ya aya makoti. Yanaenda na nguo za aina nyingi sana.
Mfano, Denim Jeans jacket zinaenda na t-shirt na jeans za rangi mbalimbali, ila usivae full jeans. No.
View attachment 3003774

Bomber jackets aka Flight jackets pia zinaweza kukufanya upendeze.

View attachment 3003775

Kwenye majacket, angalia halia ya hewa na nguo autakayovaa kwa ndani na chini. Usijitese na makoti wakati kuna hali ya hewa ya jua kali.

5. Jaribu kuvaa saa.

Hapa ata nisiongee sana, ila uwe angalau na saa pair mbili au tatu. Chronograph ya mikanda ya chuma na ya ngozi, na smartwatch au kimulimuli kimoja. Tosha.

NB:

Usiangalie wa online ndio ukaiga walivovaa, tunatofautiana maumbo, urefu na rangi. Utatoka kama zombie.

View attachment 3003782

Ukivaa vaa kiume, mtu akikuona tu anajua yule ni mwanaume.

View attachment 3003783

Usioverdress, usivae nguo nyingiii na zisio na maana.
View attachment 3003785

Na mwisho, ukiamua kuvaa like crazy, uwe crazy kwelikweli, ila kwenye special occasions.

View attachment 3003787
sawa
 
Ushawahi jiuliza siku nitoke vipi? Au kila siku unavaa style moja ya mavazi hadi watu washakuzoea? Sasa kuna hizi dress code tano (5) siku unaweza kuzijaribu.

1. Kuchomekea jeans na shati mikono mirefu.

Hii inakua casual outfit, mfano unaenda kazini au mtoko wa kawaida. Tafuta shati la mikono mirefu, draft au mistari mistari, na jeans lako slim fit, isiwe oversized au ya kubana sana, chini vaa casual shoes.
View attachment 3003744
View attachment 3003743
Kutegemea hali ya hewa unaweza kuongezea na coat.

Hii inawapendeza wanaume wa lika zote, kuanzia vijana, makamo hadi wazee.

Kikubwa ni uchaguzi wa jeans sahihi, na shati liwe simple achana na lenye marangi rangi au maneno ya brands.

2. "Shirt over T-shirt"

Hii nayo nzuri ya weekend. Kwa vijana wa kwenye early au late 20s na 30s.

Tafuta t-shirt inayokufit vizuri, nyeupe au light color yoyote, kisha kwa nje unavaa shati bila kufunga vifungo. Shati la draft au mistari linakupendeza zaidi, na kama possible liwe zito la cotton.

View attachment 3003750View attachment 3003752View attachment 3003753

Hii combo inapendeza na jeans ukivalia kwa chini, na angalia pia matching ya rangi ya shati na t-shirt.

Ukivaa hivi tembea kwa confidence na jotahidi sana usibebe bag (backpack) linaharibu muonekano.

3. Traki na T-shirt na raba

Hii ni kwa mitoko ya vijana hadi wazee, ila special occasions kama vile beach, umeenda Taifa kucheki mpira, au weekend flani.
View attachment 3003759View attachment 3003760
Hapa utavaa track isiokubana sana wala isiwe oversized sana, juu vaa tshirt na raba (au sendo kama utapendelea).

View attachment 3003762
Oversized kama hii sio tamu sana ila kama utaipenda sawa ila kwangu No.

Ukiwa beach kama mwili unaruhusu, unaweza kuvaa na vest, ila usivae mtaani au kutoka nje ya kwako. Utakera watu.

4. Jackets: Denim Jeans au Bomber?

Kama hali ya hewa inaruhusu, jaribu kua na moja wapo ya aya makoti. Yanaenda na nguo za aina nyingi sana.
Mfano, Denim Jeans jacket zinaenda na t-shirt na jeans za rangi mbalimbali, ila usivae full jeans. No.
View attachment 3003774

Bomber jackets aka Flight jackets pia zinaweza kukufanya upendeze.

View attachment 3003775

Kwenye majacket, angalia halia ya hewa na nguo autakayovaa kwa ndani na chini. Usijitese na makoti wakati kuna hali ya hewa ya jua kali.

5. Jaribu kuvaa saa.

Hapa ata nisiongee sana, ila uwe angalau na saa pair mbili au tatu. Chronograph ya mikanda ya chuma na ya ngozi, na smartwatch au kimulimuli kimoja. Tosha.

NB:

Usiangalie wa online ndio ukaiga walivovaa, tunatofautiana maumbo, urefu na rangi. Utatoka kama zombie.

View attachment 3003782

Ukivaa vaa kiume, mtu akikuona tu anajua yule ni mwanaume.

View attachment 3003783

Usioverdress, usivae nguo nyingiii na zisio na maana.
View attachment 3003785

Na mwisho, ukiamua kuvaa like crazy, uwe crazy kwelikweli, ila kwenye special occasions.

View attachment 3003787
Mikato....
 
Back
Top Bottom