Wanaume hivi mkoje? Mnaomba namba kila mtu, mnakera sana

Wanaume hivi mkoje? Mnaomba namba kila mtu, mnakera sana

DUUUUH POLE SANA KUMBE NA WADADA NAO KUNA WASIOJIAMINI....
NIKAJUA WANADATE NA WEWE KUMBE NI KUOMBA no TUU..
NADHANI INGEKUWA NI OPPORTUNITY KWAKO KUPATA MARAFIKI MAANA NAAMINI HAO WOTE WANAPROFESSION ZAO
 
Yaani wanaume mnakera sana, yaani mnaomba number kila mtu, yaani unakutana na mtu online, kitu cha kwanza ni kuomba number.
Hivi Hizo phone book si zimejaa number za watu wa online tu?
Tamaa zingine acheni.
Mimi ukija PM, number sikupi ng'oo, mara Ooooh, uko whatsApp, sijui Facebook etc. Sasa kama ni urafiki si hapa panatosha tu jamani?
Yaani ukija PM kuomba number, ujue hutakaa upate, haijalishi unalugha vipi, ni vibes gani utaniambia ambayo sijawahi sikia? Labda uongee kiyunani.
MNAJIJUA WENYEWE.....
Am done, what you me to do daaaaamn!!
Acha kutulaumu jichunguzeni kwanza nyinyi wanawake mambo mengine mnatushawishi sisi wanaume kuyafanya mfano mdogo tu hiyo avatar yako ulioweka kwa mwanaume rijali lazima akuombe namba umejianika nusu uchi afu unataka nisiombe namba nile kwa macho hapana
 
Haya tumeshajua kuwa unasumbuliwa na wanaume kimapenzi, lakini kick nyingine za kujitaftia hapa mjini hazina faida kwako 47pro
 
Uliowapa mbona hujawataja, ila unaowanyima ndo unwasema vibaya. Tabia mbaya hiyo. Acha ubaguzi
 
Yaani wanaume mnakera sana, yaani mnaomba number kila mtu, yaani unakutana na mtu online, kitu cha kwanza ni kuomba number.
Hivi Hizo phone book si zimejaa number za watu wa online tu?
Tamaa zingine acheni.
Mimi ukija PM, number sikupi ng'oo, mara Ooooh, uko whatsApp, sijui Facebook etc. Sasa kama ni urafiki si hapa panatosha tu jamani?
Yaani ukija PM kuomba number, ujue hutakaa upate, haijalishi unalugha vipi, ni vibes gani utaniambia ambayo sijawahi sikia? Labda uongee kiyunani.
MNAJIJUA WENYEWE.....
Am done, what you me to do daaaaamn!!
Acha kutoa.
 
Namba unazitoa mwenyewe hadi zimekujazia phonebook alafu unakuja kutuzugia humu.......

Inaonekana hujazoea binti ila ukizoea utaona kawaida tu na pia watukane au wakaushie ili ukinyaushiwa NA wanaume, uje tena kutuuliza UNA KASORO GANI ????????.......
 
Ila ukija kunipiga kibomu/kizinga uwe mpooole No number No transaction No love...sawa eee
 
Yaani wanaume mnakera sana, yaani mnaomba number kila mtu, yaani unakutana na mtu online, kitu cha kwanza ni kuomba number.
Hivi Hizo phone book si zimejaa number za watu wa online tu?
Tamaa zingine acheni.
Mimi ukija PM, number sikupi ng'oo, mara Ooooh, uko whatsApp, sijui Facebook etc. Sasa kama ni urafiki si hapa panatosha tu jamani?
Yaani ukija PM kuomba number, ujue hutakaa upate, haijalishi unalugha vipi, ni vibes gani utaniambia ambayo sijawahi sikia? Labda uongee kiyunani.
MNAJIJUA WENYEWE.....
Am done, what you me to do daaaaamn!!
Nanako inamba yao eyaisimu mai nakwenda muno! Mungu akachisakila unaneko ebhimbwa! Hahahaaa!
 
Sasa unawanyima kwa sababu zipi?basi usiitumie unadhani watakosa kwingine au yakwako ina thamani sana?
 
sema tu unalazimisha kutongozwa.haya nakupenda naomba namba yako
 
Yaani wanaume mnakera sana, yaani mnaomba number kila mtu, yaani unakutana na mtu online, kitu cha kwanza ni kuomba number.
Hivi Hizo phone book si zimejaa number za watu wa online tu?
Tamaa zingine acheni.
Mimi ukija PM, number sikupi ng'oo, mara Ooooh, uko whatsApp, sijui Facebook etc. Sasa kama ni urafiki si hapa panatosha tu jamani?
Yaani ukija PM kuomba number, ujue hutakaa upate, haijalishi unalugha vipi, ni vibes gani utaniambia ambayo sijawahi sikia? Labda uongee kiyunani.
MNAJIJUA WENYEWE.....
Am done, what you me to do daaaaamn!!
Wenzio wanapenda
 
Back
Top Bottom