Wanaume hivi mpoje nyie!!!!!mnatuudhi sana

Bro nataka kuokoka
 
Mm Sna mpenzi Kero Sitaki tena saiv napambana na hali yangu
Ni dhambi kuishi bila jinsia pinzani. Kama chini pako vizuri halafu unainyima haki yake unafanya kosa sana. Tafadhali kama huna hebu njoo nikustiri had pale utakapompata[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni kosa la kiufundi kumleta mwanamke kwa masela wakati hujamaliza.
 
Mmh hapa umewakilisha hulka ya watu wengi sana walivyo
 
Eeehe wanaume mna tabia hiyo sana tu ,,bora we umekubali wenzako wanatusonya hapa wakati ukweli kabisa
Ehee we unajua ndio maana umenielewa
 
Warembo kama hawa unachaje kula mzigo kama yeye mwenyewe anataka umupe mambo.
 
hiyo ipo tu chief, lazima kuna company yako flan itakuzidi kitu na ndio mafanikio yanapokuja hapo...huwezi kuwa na marafik wooote ww ndio umewazidi kila kitu itakua ni ujinga japo lazia wawepo baadhi,

uzuri wanaume ss tukiheshimiana na kuwa bestfriends mwanamke akajifanya kucheza na ss wote na ss tunacheza nae then tunamDump...[emoji1][emoji1]

ulifanya vizuri chief kumpotezea huyo mdada
 
Eeeeeh. Ila mi nina adabu sana. Hata nikikaa na marafiki wa bwana na marafiki zake wana hela ndefu wakinitongoza wala siwakubalii naona wananichukulia kama malaya. Bora nitembee na mtu huko lakini sio cycle ya mwanaume wangu.
[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…