Kweli wahenga walinena ' kung'wimbila nchibha kumala membo'Kweli unaweza rudisha hisia za mapenzi zilizopotea Ww au unataka kunikwich tu sababu nimeshakuwa sealed full temperature
Kuna mdada huyo alikuwa na shogaake mkali kumzidi. Siku alipoenda naye kwa mchumba wake, jamaa mate yakamtoka kuona shogake kumbe ndo bomba zaidi, si akabadili gia angani akawa sasa anatoka na bibie hadi ndoa kabisaa. Bidada akaachwa kama masihara vile.Hujawahi badili gia angani?
List kubwa ukiona hivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya mambo huwa siyakumbuki hadi nikiwa kwa mood mazee ndiyo nianze moja baada ya moja.
[emoji6] [emoji6]List kubwa ukiona hivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe kuwekwa namna moja ulistahilii kabisa nilikua nakutetea kumbe unanizomea nashukuru sana[emoji6] [emoji6]
Mie nyoka kibisa wewe... nyuki wa mashineni sin'gati...hata ukinitengeaKumbe kuwekwa namna moja ulistahilii kabisa nilikua nakutetea kumbe unanizomea nashukuru sana
Ndiyo maana mnaumwa sana CancerWanawake hivi mpoje, mnaturoga sana. Kwa waganga mnatuendea sisi, mkitoka Huko mnatuendea kwa manabii, hivi mnataka tuweje sasa na nyie mnatuchanganya kama concrete mixer
Ndiyo maana mnaumwa sana CancerWanawake hivi mpoje, mnaturoga sana. Kwa waganga mnatuendea sisi, mkitoka Huko mnatuendea kwa manabii, hivi mnataka tuweje sasa na nyie mnatuchanganya kama concrete mixer
Sema wallah?Mie nyoka kibisa wewe... nyuki wa mashineni sin'gati...hata ukinitengea
Nimesema huku wameniskia... ungesema niandike [emoji6]Sema wallah?
Kwahiyo unao wengi eehNimesema huku wameniskia... ungesema niandike [emoji6]
hapana kwa kweli... iko wewe tu.Kwahiyo unao wengi eeh
Mmmmh. Mimi naona umeniacha siku hizi hata matumizi hutumi tena.hapana kwa kweli... iko wewe tu.
Basi mama ngoja niongeze mapenzi tele kama yalipungua. Raha ya wapenzi kukumbusha etiMmmmh. Mimi naona umeniacha siku hizi hata matumizi hutumi tena.
Hhheeee wakati nasikia ukiikamata ni kama hutoiona tenaMie nyoka kibisa wewe... nyuki wa mashineni sin'gati...hata ukinitengea
TukumbushieBasi mama ngoja niongeze mapenzi tele kama yalipungua. Raha ya wapenzi kukumbusha eti