Wanaume hivi mpoje nyie!!!!!mnatuudhi sana

Kweli wahenga walinena ' kung'wimbila nchibha kumala membo'

Maana yake, kumwimbia kiziwi utamaliza nyimbo zote hakuelewi[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hiyo wewe ukinikuta na Dr ulimboka unaniacha? Asante kwa taarifa dawa kukupeleka viwanja vya uswahilini.
Wewe ulivyo mtamu wallah siwezi kutamani kwingine,unajua kawaida ya watu kutamani ambavyo hatuna,so we huja pesa tu lakin vingine vyote unavyo
 
[emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nmecheka sn
 
mmmh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…