Freesociety
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 984
- 926
Hah! Sasa nitawaoa wote nyie? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38] Acheni utani kwenye vitu serious.Tulikua tunataka tuolewe na wewe mkuu.
people will always go for a cheaper option.... We huoni kuku wa kienyeji wapo na kila mtu anajua ni watamu zaidi na kiafya wako vizuri... Lakini walio wengi wanakula mabroila [emoji2]Zetu zipo tofauti na midoli
Tunaongea uhalisia hata kama hayatokei kwetu..ila tuna mashosti na wapo wanaume wa aina hiyoHuu ndo ungese sifanyi. Nitoke na babe akanipandishe daladala. Sijawahi kuwa na mapenzi hayo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hana kitu,invoice anaisikia kwa jirani tu mwenzioHahahahaaa beb hataki invoice jamani.
Hujambo dadaangu?Tulikua tunataka tuolewe na wewe mkuu.
Hata sie tunawapenda sana tuHakuna tatizo, mnakamilisha History yenu tu. Kwani hukumbuki hata kwny bustani ya Eden, mwanamke ndo aliyemsaliti mwanaume..?? So always mwanamke huwa ndio chanzo...!!! Wanaume tunawapenda sn nyie, ila nyie ndo mnatuvuruga..!!
Hahahahaaaaaaa! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3] Hilo tatizo tayari.Huu ndo ungese sifanyi. Nitoke na babe akanipandishe daladala. Sijawahi kuwa na mapenzi hayo.
Hahahaaaaa! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji28] Njoeni basi.Nimemuambia tutaacha midomo,na kusutana asijali
Tatizo lenu nyie MNAANGALIWA na wengi. So ni rahis sn kutusaliti. Ila sisi mpk tuanze kupiga sound mpk kieleweke sio leo. Labda awe kicheche muuza papaHata sie tunawapenda sana tu
Ni hivi kwanza ukituoa sisi hakuna ataekugusa mme wetu tunachamba siee wakikuona wanaokusumbua madeni sijui nini wakitufikiria tu lazima wakae mbali,,atakaethubutu kukusema mme wa mama sabrina na mzigua ana mchepuko atajutaa tunamvalia vijola sare kpna make up juu tunamfata hakuna atakaechongoa mdomo kukuzungumzia vibaya tunalinda status,huoni faida,kupika tunajua,mapenzi ndio usiseme wataka raha gani ,ila tu usituvuruge maana tutakuchongolea mdomo humo ndani mpaka uzimieHah! Sasa nitawaoa wote nyie? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38] Acheni utani kwenye vitu serious.
Usmart gani huu unauzungumzia?akili basi ndio unamuacha kabisa,,uwe umezidiwa lakin uwe smart sanaa,lakin mjinga mjinga tunakuwaacha.
Asanteee babaaHahahaaaaa! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji28] Njoeni basi.
Kote mkuu.Ya wapi? [emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mtapata **** wala msijali wake zangu.Wala haina freesocity we utupe **** wa uhakika pesa na sie tutatafuta zitakuwa nyingi mme wetu,,sawa
Halaf acha kiburi ukipinduliwa usijelia MMU maana wanaume mnaongoza kutuliliaa kweliWewe dada vipi mbona unafundisha watu uoga, yaani nishindwe kukaa na demu wako mahala mazuri eti kisa kuna mtu amejipulizia perfume au sijui amevaa vizuri kuliko mimi,
Huo ni ujinga na kutojiamini kabisa , kama wewe ni demu wangu nakuita popote na tinga na wewe bila kujali eti pale kuna wanaume wenye sura nzuri kuliko mimi au laaah
Usichenekeshe dadaangu [emoji2]Kote mkuu.
Mimi sitaki huo ujinga. Tia heshima sipo. Eti nipo unalipia bill wanaume wenzio laki 4 sijui 5 weee. Ntakupa maneno hadi akili ikukae sawa.Hahahaha mimi anunue tu za kunipa atajua atakapozitoa kama sijaondoka na ufunguo wa gari haa