[emoji2][emoji2]Linani hilooo utanitajia pm nisijekwaa zigo la mavi
uyo jamaa kila post anaona ni rubbish ananchekeshaga balaa ahahahaaUmaandikaga pumba ila umenichekesha leo.
Hivi ulikuwa wapi siku zote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mtapata **** wala msijali wake zangu.
Kwahiyi mkuu nyie waaminifu sana huwa hamtuvurugi eeh?Hakuna tatizo, mnakamilisha History yenu tu. Kwani hukumbuki hata kwny bustani ya Eden, mwanamke ndo aliyemsaliti mwanaume..?? So always mwanamke huwa ndio chanzo...!!! Wanaume tunawapenda sn nyie, ila nyie ndo mnatuvuruga..!!
**** ndo nini???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mtapata **** wala msijali wake zangu.
Sawa bby.Mi sio shemeji yako am your next wakati uyo ndugu yangu akiwa ex
Tuoe wotw bwana wanaume wenyewe wachache nyie.Hah! Sasa nitawaoa wote nyie? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38] Acheni utani kwenye vitu serious.
Yaani umeniita baby hadi kichwa cha chini kikaitikiaSawa bby.
Hahahaaaaaa! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Labda mzingue nyie, mie sio mzinguaji, itakuwa safi sana maana kuna watu kazi kusema ya wenzao, ya kwao hawayasemi.Ni hivi kwanza ukituoa sisi hakuna ataekugusa mme wetu tunachamba siee wakikuona wanaokusumbua madeni sijui nini wakitufikiria tu lazima wakae mbali,,atakaethubutu kukusema mme wa mama sabrina na mzigua ana mchepuko atajutaa tunamvalia vijola sare kpna make up juu tunamfata hakuna atakaechongoa mdomo kukuzungumzia vibaya tunalinda status,huoni faida,kupika tunajua,mapenzi ndio usiseme wataka raha gani ,ila tu usituvuruge maana tutakuchongolea mdomo humo ndani mpaka uzimie
Kweli lakini.Tunaongea uhalisia hata kama hayatokei kwetu..ila tuna mashosti na wapo wanaume wa aina hiyo
Google bana naongea na babe hapo chiniUsmart gani huu unauzungumzia?
Basi na mie simtaki tena.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hana kitu,invoice anaisikia kwa jirani tu mwenzio
Na empty set ahahahuyo jamaa kila post anaona ni rubbish ananchekeshaga balaa ahahahaa
Sijambo kaka. Mzima wewe?Hujambo dadaangu?
Ewaaaa sisi ndio tupo hivyo hata uchepuke wanyamaze hayawahusu kabisa umbea hatutaki kwa mme wetuHahahaaaaaa! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Labda mzingue nyie, mie sio mzinguaji, itakuwa safi sana maana kuna watu kazi kusema ya wenzao, ya kwao hawayasemi.
Na ninavyotafuta mke kama sio wake, itakuwa poa sana kupata watu walopevuka kama nyie, najua hakutakuwa ngumi ni full diplomacy.Asanteee babaa
Huko ndo kujiamini kaka.Wewe dada vipi mbona unafundisha watu uoga, yaani nishindwe kukaa na demu wako mahala mazuri eti kisa kuna mtu amejipulizia perfume au sijui amevaa vizuri kuliko mimi,
Huo ni ujinga na kutojiamini kabisa , kama wewe ni demu wangu nakuita popote na tinga na wewe bila kujali eti pale kuna wanaume wenye sura nzuri kuliko mimi au laaah
Yani yeye ndo ana akili. Anaandikaga najiuliza kweli huyu nae kuna mtu anamuita beb. [emoji2][emoji2]uyo jamaa kila post anaona ni rubbish ananchekeshaga balaa ahahahaa
Sie hata ukiongeza mke wa tatu sawa ili mradi mnara usome 4g na ushike mikoa yote hakuna kuzima zima,ukitaka tujumuike wote room moja hatuna hiyaa tunabadili ladha kila mmoja anashika kiungo chake na kupeana zamuNa ninavyotafuta mke kama sio wake, itakuwa poa sana kupata watu walopevuka kama nyie, najua hakutakuwa ngumi ni full diplomacy.