Wanaume hivi mpoje nyie!!!!!mnatuudhi sana

Wanaume hivi mpoje nyie!!!!!mnatuudhi sana

Hakuna tatizo, mnakamilisha History yenu tu. Kwani hukumbuki hata kwny bustani ya Eden, mwanamke ndo aliyemsaliti mwanaume..?? So always mwanamke huwa ndio chanzo...!!! Wanaume tunawapenda sn nyie, ila nyie ndo mnatuvuruga..!!
Kwahiyi mkuu nyie waaminifu sana huwa hamtuvurugi eeh?
 
Ni hivi kwanza ukituoa sisi hakuna ataekugusa mme wetu tunachamba siee wakikuona wanaokusumbua madeni sijui nini wakitufikiria tu lazima wakae mbali,,atakaethubutu kukusema mme wa mama sabrina na mzigua ana mchepuko atajutaa tunamvalia vijola sare kpna make up juu tunamfata hakuna atakaechongoa mdomo kukuzungumzia vibaya tunalinda status,huoni faida,kupika tunajua,mapenzi ndio usiseme wataka raha gani ,ila tu usituvuruge maana tutakuchongolea mdomo humo ndani mpaka uzimie
Hahahaaaaaa! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Labda mzingue nyie, mie sio mzinguaji, itakuwa safi sana maana kuna watu kazi kusema ya wenzao, ya kwao hawayasemi.
 
Wewe dada vipi mbona unafundisha watu uoga, yaani nishindwe kukaa na demu wako mahala mazuri eti kisa kuna mtu amejipulizia perfume au sijui amevaa vizuri kuliko mimi,

Huo ni ujinga na kutojiamini kabisa , kama wewe ni demu wangu nakuita popote na tinga na wewe bila kujali eti pale kuna wanaume wenye sura nzuri kuliko mimi au laaah
Huko ndo kujiamini kaka.
 
Tatizo lenu nyie ni moja tu: Mwanaume naweza kuwa na mademu hata 20, ila sitaruhusu wala kusema chochote kibaya khs mke wng, na wala sitamsahau mke wng. Nitawachukulia hao wengine kama vicheche tu. Ila nyie mkichepuka bana daaaah, hata kma nna kibamia utatangaza. Na lazima utaanza dharau nyumbani. Huwa mnashindwa kabisa kucontrol hisia zenu. Ndo maana ni rahisi sn kuhisi mkeo anachepuka. Noma sn aisee.
 
Na ninavyotafuta mke kama sio wake, itakuwa poa sana kupata watu walopevuka kama nyie, najua hakutakuwa ngumi ni full diplomacy.
Sie hata ukiongeza mke wa tatu sawa ili mradi mnara usome 4g na ushike mikoa yote hakuna kuzima zima,ukitaka tujumuike wote room moja hatuna hiyaa tunabadili ladha kila mmoja anashika kiungo chake na kupeana zamu
 
Back
Top Bottom