Wanaume hivi mpoje nyie!!!!!mnatuudhi sana

Tulioishia Darasa la 5B tuna shida sana!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16] Anakuletea ugomvi wakati bahati ni yako.
 
Uzuri wng mim huwa cpend mwanaume mwenzangu akose,ndomaana naweza nikagonga dem then nikampitisha kwa masela kibao ili awataman wamgonge then tusimuliane hahaha
NB. Mim mambo ya kuoa ndo cwez
 
Haa ha ha...noma sanaa!!
 
Naheshimu mapenzi mimi. Naamini hela zinatafutwa zinapatikana ila kupata true love sio jambo dogo.
Kweli tupu umeongea, kama uko hivyo naamini tutafika mbali, maana mimi mwenyewe namheshimu sana mwanamke mwenye heshim.
 
Uzuri wng mim huwa cpend mwanaume mwenzangu akose,ndomaana naweza nikagonga dem then nikampitisha kwa masela kibao ili awataman wamgonge then tusimuliane hahaha
NB. Mim mambo ya kuoa ndo cwez
Daaah. Hata unaempenda mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…