Wanaume hivi mpoje nyie!!!!!mnatuudhi sana

Pole RRONDO ndio maana nikatoa ushauri hapo juu mim nawapendeni mno mimi MamaSabrina
Ah huyo ni wale unajua ukimuita tu huyu hapa, unakuwa nae strategically sasa ukiona anavuka mstari unapiga chini usije kugombana na masela kisa malaya.
 
Ukishakuwa na mawazo haya ulioweka kwenye hii thread hamn cha bae wala baa akitokea mtu mwingine bora u jump the ship
[emoji23][emoji23] ehhehehehe hakuna shida tatizo hampendi ukweli
 
[emoji779] [emoji780] [emoji779] [emoji780] [emoji779] [emoji780] [emoji779] [emoji780] [emoji779] [emoji780]
 
Afuu kama mwanaume wako hajakupendaa ataacha wakugongee washkaji zako afuu wotee wanakupotezeaa... Yani unajipigaa Mtungoo mwenyewee
Wapo wanaume wanampenda demu ila wanaogopa kuwanyima wenzao.
 
Lol. Tofauti bwana. Angekua bwana angu wala nisingebabaika na hao wanaume wengine. Ila kama sio bwana angu kwanini nisijiangalizie kitu bora zaidi.
Haa ha ha....nae anaangali kitu boraa zaidii!!
 
hujawahi kua na jamaa low level halafu anajifanya bingwa wa kuzichanga? ngoja nikuonyeshe mmoja wapo mie!.
hebu ngoja nikufate inbox unambie nikupitie tukamalize wikendi! kimshahara kinawasha balaa hiki.😀😀
Nishakuwa nao ,,sema ile ukipenda sana unaishia kuumia tu
Twendw tukaweke heshima bar
 
Ila wanawake mnapata shida sana...being tossed around like a ball its no joke!
Siku hizi kawaida tu hatujali tunafurahisha nafsi tu ,,mim nikiamua kufanya kitu wala sijal watu watanionaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…