Wanaume hivi mpoje nyie!!!!!mnatuudhi sana

Aaha bhasi kumbee Point hujapataa Unaempendaa au Unapendaa PESAAAAA TU...!! Ila tatizo Sio kwambaa mwanaume wakoo anakupeleka kwa wenzake wenye uwezo zaidi...
Kuna sponsor mmoja mkali sana ndio huwa nazunguka nae so hajazidiwa chochote bado [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimetaman siku nyingi kuwaza kwa sauti

"Nataman couple inayofuata umu ndani iwe ya "gudume na mama Sabrina""

Yaan nataman San tena San ata sijui kwanini alaf akili mingi mlizonazo umu ndani kupitia id zenu ndo ziwe zile zile za maisha ya siku zote[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Mbavu zangu mimi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wengi hawajui sometimes hadi namba zao watu wanagawa. Wanawake aina hii mkikutana na masela ndio unawaita wanakuja
Yaah sasa wew mpaka unakubali kugongwa na mshkaji wangu ni zaidi ya malayaa..
 
GuDume nipo nae mbona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yan Wewe acha tu tunapitia majaribu mengi sana ndo maana mm Nimeamua kuwa single girl Sitaki majaribu mtambuko kama Hayaaa

Yan unaitwa na bwana ako alafu inafika muda wa kurud nyumban anaanza kuhangaika usafir mpaka mpewe lift
Eheheheh majaribu makubwa halaf ndio upo nae tu unalisongesha gurudumu aaa unatawanya tu
 
Yan Wewe acha tu tunapitia majaribu mengi sana ndo maana mm Nimeamua kuwa single girl Sitaki majaribu mtambuko kama Hayaaa

Yan unaitwa na bwana ako alafu inafika muda wa kurud nyumban anaanza kuhangaika usafir mpaka mpewe lift
Haa ha ha..unataka wenye magari..??? WAO PIA WAPOO NA ALIE BORAA ZAIDI YAKOO.. So wee tulia tuu na ulienae...haa ha..
 
[emoji23][emoji23] ehhehehehe hakuna shida tatizo hampendi ukweli
Ukweli kwamba akitokea mwenye nazo unabadili gear angani? Hilo lipo wazi. Lakini unafikiri shida ni ya nani? Wewe ambae ukiona $$$$ chupi inadondoka au mimi niliekualika among my friends? Hao ndio rafiki zangu, wanahela kunizidi,wananukia kunizidi sasa niwakwepe kisa ukiwaona chupi inapwaya? Au nikiwa nao nisikuite? Hakuna haja ya kuwa na wewe basi.
 
Bora tu kwa kweli yaan haya kunukia hunukiii usiniite tu
 
Kuna sponsor mmoja mkali sana ndio huwa nazunguka nae so hajazidiwa chochote bado [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aaha kama ni sponsor bhasi Umeridhikaa kua wew ni Mchepukoo tuu... Yupo muhusikaa..!! Hayo mambo yakawaida
 
Mama Sabrina kumbe ni singo maza eeh? Pole sana endelea kugongesha tu mama, inaonekana huyu jamaa uliemchana hapa ni bahili wa kuhonga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…