LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
''halafu ninyi ''wakina mama wenye nyumba'' wengi wenu mnakuwa na ''roho mbaya'' sana,ndo maana wanaume tunaaaaa....
MFANO:
unamfanya hg ''draiklina''
unamfanya kuwa ''gas cooker''
unamfanya ''vacuum klina'' pia
anakuangalizia mtoto (hii ndo the most sensitive part)
anakaa na mtoto for eight hrs we uko kazini (hapa ni death and life question),na
anamlisha mtoto vizuri
wewe upo ofisini unapiga store tu
halafu ukirudi ''umechoka'' wakati yeye anakuwa na ''nguvu zake 99''
HALAFU KIBAYA ZAIDI SASA,UNATAKA UMLIPE SH 25,000 KWA MWEZI.......!
EBO...!
ARE YOU PEOPLE SERIOUS?
Mfalme wa amani ainuliwe,
Mmmmm, huu ukweli huuuu unakaribia kuuma sasa!!
Akipasua chupa, unamkata kwene mshahara!!
Akikosea kidogo anafokewa kama mbwa!!
Ukiamua humpi mshahara wake!!
Duuu, hali chakula mezani na wanafamilia.
Haruhusiwi kukaa sebuleni, na akikaa anakaa chini, hatakiwi kukaa kwene sofa.
Mmmmm, akipata kaupenyo kwa father house, lazima akugonge tu mother house kwa style hio.