Asante kwa ruhusa yako MadamKaeni nao kwa akili
Mchepuko si mrithi wa mali zako, hata uk RIP ni nadra kwa mchepuko kupata chochote labda uwe umezaa nae nae napo pia hutegemea umuhimu wa huyo mtoto kwa familia ya mume.
Mnapo kula chakula kwa mchepuko kuna uwezekano maadaui wako kuulipa mchepuko hela ukuondoe duniani. Mfano wewe unampa mchepuko laki mbili kila mkikutana, wanakufa mahasimu wako ki biashara, wanampa milioni tano akuwekee sumu kwenye chakula. Aweke sumu kwenye chakula na sahani na kijiko ulicholia vitupwe mbali kupoteza ushahidi.
Hii sio mambo ya kunikumbushia wakati nakunywa beerFikiria ukifa mke wako anakua widow lakini mchepuko ni official spincer
Mjengee kabisa hata banda la uwaniKuna mchepuko nimezaa nae mtoto wa kike na mm ninae madume 3 natamani sana nimlete nyumbni kwangu awajue kaka zake
Ila ndio hivyo mchepuko mwenyww ni mke wa mke wa mtu
But nimemnunulia plot huko bagamoyo as her feture asset
Utakuta hayo madume yako pia yana mwenyewe....Kuna mchepuko nimezaa nae mtoto wa kike na mm ninae madume 3 natamani sana nimlete nyumbni kwangu awajue kaka zake
Ila ndio hivyo mchepuko mwenyww ni mke wa mke wa mtu
But nimemnunulia plot huko bagamoyo as her feture asset
Mchepuko si mrithi wa mali zako, hata uk RIP ni nadra kwa mchepuko kupata chochote labda uwe umezaa nae nae napo pia hutegemea umuhimu wa huyo mtoto kwa familia ya
Mwanamke anapofikia hatua ya kukigawa ujue ndani ni kwa moto.Nami naomba niulize hivi KE wanapochepuka huwa wanawaza nini? Hufanya hivyo na kupata mimba huku wakijua mimba siyo ya hubby lakini wanambambikia kwanini lakini wanafanya hivyo? Na wakati mwingine kuokota magonjwa ya zinaa na kuyaleta nyumbani. πππ
Wengine ni kunguru tuMwanamke anapofikia hatua ya kukigawa ujue ndani ni kwa moto.
Hii sababu sielewagi mimi mkuu,Mwanamke anapofikia hatua ya kukigawa ujue ndani ni kwa moto.
Ngoja niwazue kwanza sababu hawa madume wangu wananitoa roho na ada za shuleMjengee kabisa hata banda la uwani