Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namsubiri huyo atakayekuja kuwadai kuwa ni wake nimnyonye mavi kwa mrijaUtakuta hayo madume yako pia yana mwenyewe....
Mume/mke wako wa ndoa ndio mahusiano sahihi na salama, sio rahisi mume wako au mke wako akudhuru hata kama mmetofautiana au kugombanaMchepuko si mrithi wa mali zako, hata uk RIP ni nadra kwa mchepuko kupata chochote labda uwe umezaa nae nae napo pia hutegemea umuhimu wa huyo mtoto kwa familia ya mume.
Mnapo kula chakula kwa mchepuko kuna uwezekano maadaui wako kuulipa mchepuko hela ukuondoe duniani. Mfano wewe unampa mchepuko laki mbili kila mkikutana, wanakuja mahasimu wako ki biashara, wanampa milioni tano akuwekee sumu kwenye chakula. Aweke sumu kwenye chakula na sahani na kijiko ulicholia vitupwe mbali kupoteza ushahidi.
Kwani we umeenda kumdai huyo binti wa nje?Namsubir huyo atakayekuja kuwadai kuwa ni wake nimnyonye mavi kwa mrija
Huwa wanachepuka kwa midomo tu ila in real life ni ngumu tofauti na ME, yeye akchat na mwanamke anataka akapige na show kabisa🤭Nami naomba niulize hivi KE wanapochepuka huwa wanawaza nini? Hufanya hivyo na kupata mimba huku wakijua mimba siyo ya hubby lakini wanambambikia kwanini lakini wanafanya hivyo? Na wakati mwingine kuokota magonjwa ya zinaa na kuyaleta nyumbani. 😜😜😜
Mwanamke anapofikia hatua ya kukigawa ujue ndani ni kwa moto.
Ndio maana huwa simwamini mwanamke yeyote zaidi ya mama mzaziIssue ya Kukugeuka sio Mchepuko tu hata mkeo anaweza kufanya hivyo maana akili za wanawake saa nyingine hata hazieleweki.
Mh umezaa na mke wa mtu sasa utakuwa na haki gani kwa mtoto?Kuna mchepuko nimezaa nae mtoto wa kike na mm ninae madume 3 natamani sana nimlete nyumbni kwangu awajue kaka zake
Ila ndio hivyo mchepuko mwenyww ni mke wa mtu
But nimemnunulia plot huko bagamoyo as her feture asset
Hii sababu sielewagi mimi mkuu,
Sio tu kwa moto, ila hata moyo unakua ushahama, wakati mwingine ndani ni kwa moto ila moyo bado upo kwa mumeMwanamke anapofikia hatua ya kukigawa ujue ndani ni kwa moto.
Natamani kukuelewa ujue...R.I.P G....
Asingekuwa mchepuko wa babako, labda leo bado tungekua pamoja.
Michepuko sio watu wazuri.
Kuna mchepuko nimezaa nae mtoto wa kike na mm ninae madume 3 natamani sana nimlete nyumbni kwangu awajue kaka zake
Ila ndio hivyo mchepuko mwenyww ni mke wa mtu
But nimemnunulia plot huko bagamoyo as her feture asset