Wanaume huwa mnafikiria hatari zinazoweza kuletwa na mchepuko?

Wanaume huwa mnafikiria hatari zinazoweza kuletwa na mchepuko?

Mchepuko si mrithi wa mali zako, hata uk RIP ni nadra kwa mchepuko kupata chochote labda uwe umezaa nae nae napo pia hutegemea umuhimu wa huyo mtoto kwa familia ya mume.

Mnapo kula chakula kwa mchepuko kuna uwezekano maadaui wako kuulipa mchepuko hela ukuondoe duniani. Mfano wewe unampa mchepuko laki mbili kila mkikutana, wanakuja mahasimu wako ki biashara, wanampa milioni tano akuwekee sumu kwenye chakula. Aweke sumu kwenye chakula na sahani na kijiko ulicholia vitupwe mbali kupoteza ushahidi.
Mume/mke wako wa ndoa ndio mahusiano sahihi na salama, sio rahisi mume wako au mke wako akudhuru hata kama mmetofautiana au kugombana

Kuanzisha mahusiano nje ni gharama, usumbufu, hatari na pia ni kujitafutia mikosi tu isiyo na sababu

Management ya mahusiano ya nje ni ngumu, huwezi kuwaridhisha wapenzi wawili, wakati mwingine utaona mmoja anakukera tu na hata kumjibu msg unaona kero

Bakini njia kuu😎
 
Nami naomba niulize hivi KE wanapochepuka huwa wanawaza nini? Hufanya hivyo na kupata mimba huku wakijua mimba siyo ya hubby lakini wanambambikia kwanini lakini wanafanya hivyo? Na wakati mwingine kuokota magonjwa ya zinaa na kuyaleta nyumbani. 😜😜😜
Huwa wanachepuka kwa midomo tu ila in real life ni ngumu tofauti na ME, yeye akchat na mwanamke anataka akapige na show kabisa🤭
 
Kuna mchepuko nimezaa nae mtoto wa kike na mm ninae madume 3 natamani sana nimlete nyumbni kwangu awajue kaka zake
Ila ndio hivyo mchepuko mwenyww ni mke wa mtu

But nimemnunulia plot huko bagamoyo as her feture asset

Na wew ukute hao madume si wako[emoji2364][emoji2364]
 
mada moto sana!
lakini kweli michepuko ni smoking gun..
nikikumbuka mchepuko alivyosababisha mjomba akanywa ngao ya kidonge!
alimfanyia kila kitu ila kosa moja alifanya ni kwamba lazma arudi kulala nyumbani na kuacha mchepuko peke yake...
akitoka kwa mchepuko kurudi kwa mke wake huku mchepuko anaingiza jamaa wake.
siku vimeumana jamaa alishindwa kuvumilia akanywa ngao ya kidonge na kuacha mke na watoto wadogo!
lile jomba langu sijui lilikuwa linapewa nyoro!
daahh inaskitisha sana
 
Ndio maana huwa simwamini mwanamke yeyote zaidi ya mama mzazi
Yaani demu hata awe mwema kiasi gani huwa naamini ipo siku anaweza kuunga mkono juhudi
Yule ukiyekula nae kiapo kanisani au kwa sheikh ni vigumu kukugeuka
 
Back
Top Bottom