Wanaume huwa mnafikiria hatari zinazoweza kuletwa na mchepuko?

Wanaume huwa mnafikiria hatari zinazoweza kuletwa na mchepuko?

Mchepuko si mrithi wa mali zako, hata uk RIP ni nadra kwa mchepuko kupata chochote labda uwe umezaa nae nae napo pia hutegemea umuhimu wa huyo mtoto kwa familia ya mume.

Mnapo kula chakula kwa mchepuko kuna uwezekano maadaui wako kuulipa mchepuko hela ukuondoe duniani. Mfano wewe unampa mchepuko laki mbili kila mkikutana, wanakuja mahasimu wako ki biashara, wanampa milioni tano akuwekee sumu kwenye chakula. Aweke sumu kwenye chakula na sahani na kijiko ulicholia vitupwe mbali kupoteza ushahidi.
Unajihami na kibabu?
 
mada moto sana!
lakini kweli michepuko ni smoking gun..
nikikumbuka mchepuko alivyosababisha mjomba akanywa ngao ya kidonge!
alimfanyia kila kitu ila kosa moja alifanya ni kwamba lazma arudi kulala nyumbani na kuacha mchepuko peke yake...
akitoka kwa mchepuko kurudi kwa mke wake huku mchepuko anaingiza jamaa wake.
siku vimeumana jamaa alishindwa kuvumilia akanywa ngao ya kidonge na kuacha mke na watoto wadogo!
lile jomba langu sijui lilikuwa linapewa nyoro!
daahh inaskitisha sana
Mjomba wako hakujua kuishi nao kwa akili.
 
Mchepuko si mrithi wa mali zako, hata uk RIP ni nadra kwa mchepuko kupata chochote labda uwe umezaa nae nae napo pia hutegemea umuhimu wa huyo mtoto kwa familia ya mume.

Mnapo kula chakula kwa mchepuko kuna uwezekano maadaui wako kuulipa mchepuko hela ukuondoe duniani. Mfano wewe unampa mchepuko laki mbili kila mkikutana, wanakuja mahasimu wako ki biashara, wanampa milioni tano akuwekee sumu kwenye chakula. Aweke sumu kwenye chakula na sahani na kijiko ulicholia vitupwe mbali kupoteza ushahidi.
mambo ya wanaume tuachieni wanaume wenyewe! Mwaka wa kumi huu sijawahi kulishwa sumu usitutishe!!
 
Mume/mke wako wa ndoa ndio mahusiano sahihi na salama, sio rahisi mume wako au mke wako akudhuru hata kama mmetofautiana au kugombana

Kuanzisha mahusiano nje ni gharama, usumbufu, hatari na pia ni kujitafutia mikosi tu isiyo na sababu

Management ya mahusiano ya nje ni ngumu, huwezi kuwaridhisha wapenzi wawili, wakati mwingine utaona mmoja anakukera tu na hata kumjibu msg unaona kero

Bakini njia kuu😎
dole gumba kwako lisilo na ukucha.
 
Mchepuko si mrithi wa mali zako, hata uk RIP ni nadra kwa mchepuko kupata chochote labda uwe umezaa nae nae napo pia hutegemea umuhimu wa huyo mtoto kwa familia ya mume.

Mnapo kula chakula kwa mchepuko kuna uwezekano maadaui wako kuulipa mchepuko hela ukuondoe duniani. Mfano wewe unampa mchepuko laki mbili kila mkikutana, wanakuja mahasimu wako ki biashara, wanampa milioni tano akuwekee sumu kwenye chakula. Aweke sumu kwenye chakula na sahani na kijiko ulicholia vitupwe mbali kupoteza ushahidi.
Duniani hapa ni kumwomba mungu akuepushe na mabalaa
Hatari inatokea upande wowote ule iwe kwa mchepuko au kwa mume/mke
 
Sasa Best mimi nakwambia si kweli. KE anaweza kuwa yuko ndani ya ndoa yenye kila starehe mume anamjali mwanzo mwisho ukiwa hujui utasema ndoa yao wale bomba sana wanapendana sana kumbe KE anatombesha nje.
Basi hampendi huyo mwanaume
Women cheat for love sio tamaa kama wanaume
 
Ziko kesi za hilo na ziko kesi pia hakuna tatizo lolote ndani ya ndoa na bado anachepuka. Kwa mfano alikuwa chuo na ex wake mmoja anamtafuta mwenzie ili wapashe kiporo wengine wanachepuka for the sake tu ya kuchepuka.
Then sababu ipo
Huwezi sema hamna sababu...

mtu doesnt wake up in an ordinary morning akasema naenda saliti mume/mke wangu

majaribu ya dunia
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom