Je hawa wapenda hela na waangalia fursa mbona wanaenda tuAbnormal women..
Few wanaofanya kwa hamu tu na sio hisia
In most cases.,women are emotional
For most women u js dont go to bed with a man you dont love...haipoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je hawa wapenda hela na waangalia fursa mbona wanaenda tuAbnormal women..
Few wanaofanya kwa hamu tu na sio hisia
In most cases.,women are emotional
For most women u js dont go to bed with a man you dont love...haipoo
Dah hii inaumiza sana ila hatuwezi jua labda ndoa yake ilibaki jina ile ya wanandoa kugawana vyumba ila wanatoka mlango mmoja!!mada moto sana!
lakini kweli michepuko ni smoking gun..
nikikumbuka mchepuko alivyosababisha mjomba akanywa ngao ya kidonge!
alimfanyia kila kitu ila kosa moja alifanya ni kwamba lazma arudi kulala nyumbani na kuacha mchepuko peke yake...
akitoka kwa mchepuko kurudi kwa mke wake huku mchepuko anaingiza jamaa wake.
siku vimeumana jamaa alishindwa kuvumilia akanywa ngao ya kidonge na kuacha mke na watoto wadogo!
lile jomba langu sijui lilikuwa linapewa nyoro!
daahh inaskitisha sana
Mwanamke anapofikia hatua ya kukigawa ujue ndani ni kwa moto.
Siku hizi hata mke akipewa dau la kutosha anakuondoa tu, hasa wale wanawake ambao kutwa wao kusema wanaume wote ni SAWA, ni mbwa tu. Everyone has a price.Mchepuko si mrithi wa mali zako, hata uk RIP ni nadra kwa mchepuko kupata chochote labda uwe umezaa nae nae napo pia hutegemea umuhimu wa huyo mtoto kwa familia ya mume.
Mnapo kula chakula kwa mchepuko kuna uwezekano maadaui wako kuulipa mchepuko hela ukuondoe duniani. Mfano wewe unampa mchepuko laki mbili kila mkikutana, wanakuja mahasimu wako ki biashara, wanampa milioni tano akuwekee sumu kwenye chakula. Aweke sumu kwenye chakula na sahani na kijiko ulicholia vitupwe mbali kupoteza ushahidi.
Wanawake hawa wa siku hizi hata Hilo neno widow hawalifahamu, ukifa Leo baada ya miezi 2 tu ana boyfriend na wewe unakuwa past tense. Hata watoto hawawasumbui wanapeleka boarding tu.Fikiria ukifa mke wako anakua widow lakini mchepuko ni official spincer
Hilo la sumu hata mke anweza kulifanya.... Ni mazingira tu mliyonayo...Mchepuko si mrithi wa mali zako, hata uk RIP ni nadra kwa mchepuko kupata chochote labda uwe umezaa nae nae napo pia hutegemea umuhimu wa huyo mtoto kwa familia ya mume.
Mnapo kula chakula kwa mchepuko kuna uwezekano maadaui wako kuulipa mchepuko hela ukuondoe duniani. Mfano wewe unampa mchepuko laki mbili kila mkikutana, wanakuja mahasimu wako ki biashara, wanampa milioni tano akuwekee sumu kwenye chakula. Aweke sumu kwenye chakula na sahani na kijiko ulicholia vitupwe mbali kupoteza ushahidi.
Shemela utauwa mtu kwa pureeeshaaaa... Dah..!!!Utakuta hayo madume yako pia yana mwenyewe....
Shemela, nyie huwa hamkosei ila mnasababishiwa kukosea... IMANI HII ALMOST WOTE MNAYOMwanamke anapofikia hatua ya kukigawa ujue ndani ni kwa moto.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]wanawake na siri zenuUtakuta hayo madume yako pia yana mwenyewe....
Na wewe unasubiriwa huko ukienda kudai kale ka kikeNamsubiri huyo atakayekuja kuwadai kuwa ni wake nimnyonye mavi kwa mrija
Kwenye hiyo line ya mwisho, wewe umejitoa?Mume/mke wako wa ndoa ndio mahusiano sahihi na salama, sio rahisi mume wako au mke wako akudhuru hata kama mmetofautiana au kugombana
Kuanzisha mahusiano nje ni gharama, usumbufu, hatari na pia ni kujitafutia mikosi tu isiyo na sababu
Management ya mahusiano ya nje ni ngumu, huwezi kuwaridhisha wapenzi wawili, wakati mwingine utaona mmoja anakukera tu na hata kumjibu msg unaona kero
Bakini njia kuu😎
Tubaki njia kuu boss, hapo nilikua nawalenga wanaume ndio maana nikajitoaKwenye hiyo line ya mwisho, wewe umejitoa?
We sema hivyo, maana hata nyie mnachepuka haswa... SI UNAKUMBUKA HESABU YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI? KWAMBA KWA SAMPLES ZILIZOPELEKWA KWAKE, 49% YA WANAUME WANALEA WATOTO SI WAOTubaki njia kuu boss, hapo nilikua nawalenga wanaume ndio maana nikajitoa
Hili nalo ni janga lingineWe sema hivyo, maana hata nyie mnachepuka haswa... SI UNAKUMBUKA HESABU YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI? KWAMBA KWA SAMPLES ZILIZOPELEKWA KWAKE, 49% YA WANAUME WANALEA WATOTO SI WAO
Kwanini umejitoa kwenye seti?Kaeni nao kwa akili