Wanaume huwa mnafikiria hatari zinazoweza kuletwa na mchepuko?

Wanaume huwa mnafikiria hatari zinazoweza kuletwa na mchepuko?

Kinyume chake ni sahihi. Marukio ya kweli ya wake kuua waume zao ni mengi kuliko michepuko kuua wapenzi wao. Samson aliuawa na mke, rais wa kwanza kama sikosei ni wa rwanda anaitwa baba wa taifa lao alitegewa sumu na mke wake ikulu ili ale afe ndo maana sikuwahi kjmwona kwenye ziara zake zote akiambatana na mkewe na mkewe hakuwa anakaa ikulu. Rais huyu ni marehem kwa sasa ila mkewe bado hai, sikumbuki jina lake.
Sky naomba data ambazo mchepuko uliua bwana wake.
Halafu kama hujui sky michepuko ndo huleta aman na waume zenu nyumbani. Binafsi mdogo wako siujui uchi wake mwaka na nusu sasa ila tuna furahia vizuri tu hatujagombana wala mchepuko ndo anasawazisha hali ya hewa
Mwaka na nusu hujamtomb@ mkeo?!!!! au sijaelewa vizuri labda!
 
Sheria no1. Mchepuko asikupikie. Itisheni chakula kutoka vilikoandaliwa tayari.

Sheria no2. Mchepuko hafuatwi kwake, nendeni gest tena za mbali kabisa.

Sheria no3. Usinywe pombe ukiwa nae anaweza kukubashite kwenye glas.

Sheria no4. Hana mamlaka ya kukupigia cm wala text mathalani umtafute wewe.

Sheria no5. Michepuko ni mitamu askwambie mtuuu!!!!!
 
Mchepuko si mrithi wa mali zako, hata uk RIP ni nadra kwa mchepuko kupata chochote labda uwe umezaa nae nae napo pia hutegemea umuhimu wa huyo mtoto kwa familia ya mume.

Mnapo kula chakula kwa mchepuko kuna uwezekano maadaui wako kuulipa mchepuko hela ukuondoe duniani. Mfano wewe unampa mchepuko laki mbili kila mkikutana, wanakuja mahasimu wako ki biashara, wanampa milioni tano akuwekee sumu kwenye chakula. Aweke sumu kwenye chakula na sahani na kijiko ulicholia vitupwe mbali kupoteza ushahidi.
Dada angu enzi na enzi michepuko ipo wala haitakaaga kupotea tena chakushanganza michepuko ni nduguzo,marafiki zako napia watu wako wakaribu wanakuja kukuchora kama yuda iskariyote mnakula nawao mnacheka nao ila siku ya mwisho ndio unajua alikuwa snitch maisha ya michepuko haiishi hata kidogo .
Na madhara hayapo kwa maana vyote alijua yatamtokea .
1.magonjwa
2.kuachwa na mke
3.kupata aibu kwa jamii ila kwa sasa vichwa vya watu hata hawajali kama upo au haupo unaishi au hauishi.
 
Kuna mchepuko nimezaa nae mtoto wa kike na mm ninae madume 3 natamani sana nimlete nyumbni kwangu awajue kaka zake
Ila ndio hivyo mchepuko mwenyww ni mke wa mtu

But nimemnunulia plot huko bagamoyo as her feture asset
Mku huyo binti itakuwa zawad ya baba mlezi
 
Mchepuko anakuwa na mali zake kugombaniana kunatoka wapi? Nikizaa tuu naanza kumuqndalia mtoto huyo vya kwake
 
Sheria no1. Mchepuko asikupikie. Itisheni chakula kutoka vilikoandaliwa tayari.

Sheria no2. Mchepuko hafuatwi kwake, nendeni gest tena za mbali kabisa.

Sheria no3. Usinywe pombe ukiwa nae anaweza kukubashite kwenye glas.

Sheria no4. Hana mamlaka ya kukupigia cm wala text mathalani umtafute wewe.

Sheria no5. Michepuko ni mitamu askwambie mtuuu!!!!!
Ss hio ni starehe ama mateso?.!

hakikisha tu unapendana na huyo mtu
Mtu akikupenda hakufanyii ubaya
 
Ngoja niwazue kwanza sababu hawa madume wangu wananitoa roho na ada za shule
Na mchepuko ndio anazidi kunipa mshawasha wa kuzaa nae mtoto mwingine
Unazaa na mke wa mtu alafu unajimwambafai kua una vidume 3 kwa mke wako. Siyo heshima nzuri kufanya jambo kama hilo hapa diniani. Achana na mwanamke huyo ndugu.
 
Back
Top Bottom