Wanaume igeni mfano kutoka kwa Harmonize

Huyu muhuni anawaza namna gani abaki midomoni kwa watu muziki wake uende, na alishajua kajala ana kanyota fulani wakikaa wote.kama ilivyo yeye.

Hamna ndoa hapo yaani eti aitwe Robert kweli?

Amka hakuna wa kukufanyia huo upuuzi fanya kazi tu upate pesa yako
 
Ukiwa msanii inahita udate au uoe/uolewe na msanii mwenzio athawais attention au umaaarufu unapungua
Yeye ange date tuu...yaani mie maarufu na hel ninayo sii natembeza dudu tuu kwa warembo wote maarufu na siweki kambi. Huyu ana matumizi mabaya ya hela na umaarufu🤣🤣🤣🤣
 
Yeye ange date tuu...yaani mie maarufu na hel ninayo sii natembeza dudu tuu kwa warembo wote maarufu na siweki kambi. Huyu ana matumizi mabaya ya hela na umaarufu🤣🤣🤣🤣
Sema ndo anapopata kiki kaona tumwache apige hela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…