MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Ukiona watoto wa kike wanakusifia kwa kujua kupenda, fahamu fika kwamba zoezi zima la mapenzi limeshakushinda kwa asilimia 50%.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo hakuna mapenzi hapo kuna biashara ya mapenzi mmoja yupo after money mwingine ili apate kiki za mjini so unatushauri tuwe na mapenzi ya bongomovieKwakweli waige mfano wa Rajab
watafute pesa afu waoe wadada warembo haswa 😅😅😅😅
Kwenye vyeti labdaHivi Kajala si bado mke wa mtu?
Ila heshima kwake kwa kubeba single mother tena aliyemzidi umri
Raha ipi hapo wakati wapo kibiashara mmoja yupo ili apate kiki mwingine kafuata hela[emoji23][emoji23][emoji23]ni Raha nyieee
Sasa yeye kaona hiyo ndio sahihi kwake. Muacheni yakimshinda basi atatoka huko.Sasa kama kuna kuchapa lapa sii bora umuweke ndani kinyumba tuu unajilia vyako bila kuingia kwa ndoa.
Wanawake wenyewe siku hizi wanachojali ni ndalama tuu na huduma nzuri so wala huna shida ya ndoa.
Sawa wacha tumuache ale mtako ule...jamaa anafaidi kweli. Yaani ikiwezekana alae na yule pau😋😋Sasa yeye kaona hiyo ndio sahihi kwake. Muacheni yakimshinda basi atatoka huko.
Wewe bado uwajui wasanii wakibongo hapo hakuna mapenzi kuna biashara ya mapenzi mmoja yupo kea akili apate kiki kaona mwanamke pekee wakumpa kiki ni kajala wengine wote walibuma na kajala yupo after money kwahiyo Rosemary 255 utatushauri tufanye mapenzi ya bongomovieNyie Nyie Nyie,
Ndo upate mwanaume akugande kama Rajab [emoji1787][emoji1787] Abadili jina kuwa Robert kwa ajili yako [emoji849][emoji849]
[emoji2956][emoji2956][emoji2956]
[emoji3064][emoji3064]Kuna watu wanapendwa jamani,
Wanaume igeni mfano kutoka kwakeView attachment 2273328View attachment 2273329View attachment 2273330View attachment 2273331
Mkuu mrejesho 😅😅😅🔥🔥Wewe bado uwajui wasanii wakibongo hapo hakuna mapenzi kuna biashara ya mapenzi mmoja yupo kea akili apate kiki kaona mwanamke pekee wakumpa kiki ni kajala wengine wote walibuma na kajala yupo after money kwahiyo Rosemary 255 utatushauri tufanye mapenzi ya bongomovie
Sure mkuu akili zao zinashangaza sanaNi viumbe wapumbavu tu movie za hollywood zimewaharibu pia .
Yaani huyo konde afanye yote haya just for papuchi ya huyu mama?
Eti kabisa wanakazania eti tuige..!
No wonder wanaishia kutumika tu wanaolewa wenye akili
[emoji23][emoji23][emoji23] ona sasa, wacha amuweke ndani kabisa azidi kuinjoi.Sawa wacha tumuache ale mtako ule...jamaa anafaidi kweli. Yaani ikiwezekana alae na yule pau[emoji39][emoji39]
Maigizo kuanzia yale magari ...lengo lao ni kuuza kazi zao na kutengeneza attention ili kuvuta deals nyingi ikiwemo za ubalozi .....Khaaa! kwa hiyo ni maigizo?
Yeye alikuwa na uwezo wakula tako hilo bila kujifunga pingu ya maisha.[emoji23][emoji23][emoji23] ona sasa, wacha amuweke ndani kabisa azidi kuinjoi.
Sio tunaombea mabaya ila hatupendi mapenzi ya kiki huo uhusiano wao hautadumu kwasababu kajala kafuata ATM wakati harmonize yupo kwaajili ya kutafuta kiki mjini anaona mziki wake hauwezi kwenda bila skendoAlie kitu gani? Wabongo kwa kuombea wenzao mabaya
KaushaBabaake ni imam pale chitohole ila mwanae kabadili jina kisa mapenzi kweli pesa mwanaharamu.
Kama umeoa, mkeo unaishi naye wakati hataki kupendwa?Wanawake wengi hawataki kupendwa. Ukimpenda atachukua udhaifu wako kukuendesha km gari bovu.
Huyo siku zake zinahesabika, atapigwa na kitu kizito chenye ncha kali kichwani mpk ashangae.
Nishayapitia. Sasa hivi nafanya mambo yangu