Wanaume igeni mfano kutoka kwa Harmonize

Wanaume igeni mfano kutoka kwa Harmonize

Hapo ni win win situation. Mmoja kafata ATM card mjini bila danga kugumu, mwingine kaangalia biashara muziki bila kiki auendi, Ili utoke ni lazima utengeneze skendo. Wema na zari ndio waliomtoa diamond. Skendo ni biashara mjini
 
Nyie Nyie Nyie,
Ndo upate mwanaume akugande kama Rajab [emoji1787][emoji1787] Abadili jina kuwa Robert kwa ajili yako [emoji849][emoji849]
[emoji2956][emoji2956][emoji2956]
[emoji3064][emoji3064]Kuna watu wanapendwa jamani,

Wanaume igeni mfano kutoka kwakeView attachment 2273328View attachment 2273329View attachment 2273330View attachment 2273331
Wewe bado uwajui wasanii wakibongo hapo hakuna mapenzi kuna biashara ya mapenzi mmoja yupo kea akili apate kiki kaona mwanamke pekee wakumpa kiki ni kajala wengine wote walibuma na kajala yupo after money kwahiyo Rosemary 255 utatushauri tufanye mapenzi ya bongomovie
 
yea
Wewe bado uwajui wasanii wakibongo hapo hakuna mapenzi kuna biashara ya mapenzi mmoja yupo kea akili apate kiki kaona mwanamke pekee wakumpa kiki ni kajala wengine wote walibuma na kajala yupo after money kwahiyo Rosemary 255 utatushauri tufanye mapenzi ya bongomovie
Mkuu mrejesho 😅😅😅🔥🔥
 
Ni viumbe wapumbavu tu movie za hollywood zimewaharibu pia .

Yaani huyo konde afanye yote haya just for papuchi ya huyu mama?
Eti kabisa wanakazania eti tuige..!

No wonder wanaishia kutumika tu wanaolewa wenye akili
Sure mkuu akili zao zinashangaza sana
 
Sawa wacha tumuache ale mtako ule...jamaa anafaidi kweli. Yaani ikiwezekana alae na yule pau[emoji39][emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23] ona sasa, wacha amuweke ndani kabisa azidi kuinjoi.
 
Alie kitu gani? Wabongo kwa kuombea wenzao mabaya
Sio tunaombea mabaya ila hatupendi mapenzi ya kiki huo uhusiano wao hautadumu kwasababu kajala kafuata ATM wakati harmonize yupo kwaajili ya kutafuta kiki mjini anaona mziki wake hauwezi kwenda bila skendo
 
Yaani mimi nimpende mwanamke zaidi ya ninavyojipenda mwenyewe kwanza kiasi cha kufanya stupid decisions kama hizo?

Huyo jamaa ni mjinga na wanawake wanapenda wajinga ili wawaendeshe, mwanaume ndio unatakiwe umuongoze mwanamke na afuate miongozo yako na sio kuwa crash dummy.
 
Mwenyekiti wa chama cha wanaume Tanzania,anakusudia kumuandikia barua ya onyo na kalipio kali kwa harmonize asisubutu kuwa Robert aliyofanya yanatosha kabisa (magari n.k) ukizingazitia kajala ni gazeti la jana
 
Wanawake wengi hawataki kupendwa. Ukimpenda atachukua udhaifu wako kukuendesha km gari bovu.
Huyo siku zake zinahesabika, atapigwa na kitu kizito chenye ncha kali kichwani mpk ashangae.
Nishayapitia. Sasa hivi nafanya mambo yangu
Kama umeoa, mkeo unaishi naye wakati hataki kupendwa?
 
Back
Top Bottom