Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Hee weweUkiona mwanaume yeyote anamuelewa mwanamke kupitiliza jua anakaribia kufa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hee weweUkiona mwanaume yeyote anamuelewa mwanamke kupitiliza jua anakaribia kufa.
Huamini kuwa umri ni namba tu ?Hivi Kajala si bado mke wa mtu?
Ila heshima kwake kwa kubeba single mother tena aliyemzidi umri
Alie kitu gani? Wabongo kwa kuombea wenzao mabayaHuyu atakuja kulia siku sie tupo hapa tunasubiri
Hapo nimekubali kweli ni namba 😀😀Huamini kuwa umri ni namba tu ?
Hakuwepo kwenye kikao chetu ambapo tulipitisha azimio no kuoa. Wacha mwana kulifind mwana kuliget. Time will tellAlie kitu gani? Wabongo kwa kuombea wenzao mabaya
Asante brother 🤛🏿🤛🏿Kuna wanawake wanastahili heshima zaidi ya hiyo kubadili jina na dini
ingekua hata damu naweza ibadili unaibadili tu,au u bin niitwe Controla Magreth
yani kuna wanawake ndoa haitoshi kumuonyesha thamani yake,maana ukifikiria namna
wamejitoa kwa ajili yako,amekuvumilia,amepita nawewe ktk kila bonde na akabaki na msimamo
ule ule kukupenda wakati wote wa maisha yake,mwana mke wa hivi wakati namvalisha pete tu
sipigi goti napga sarakasi nasimamia kichwa kisha ndio nachukua mkono wake namvalisha.
"siwezi.muiga.harmonize"
Ahahaahaa hamna wa kukufanyia huo upuuzi ....wanawake wanaonekana n wepesi sana kudanganyika ...wao et wanaamini hii ni ndoa kwelHuyu muhuni anawaza namna gani abaki midomoni kwa watu muziki wake uende, na alishajua kajala ana kanyota fulani wakikaa wote.kama ilivyo yeye.
Hamna ndoa hapo yaani eti aitwe Robert kweli?
Amka hakuna wa kukufanyia huo upuuzi fanya kazi tu upate pesa yako
Ni viumbe wapumbavu tu movie za hollywood zimewaharibu pia .Ahahaahaa hamna wa kukufanyia huo upuuzi ....wanawake wanaonekana n wepesi sana kudanganyika ...wao et wanaamini hii ni ndoa kwel
Tunatofautiana, mwanaume akinipenda kweli kweli nae ataupata upendo wangu kwa uzito ule ule na hata kumzidi.Wanawake wengi hawataki kupendwa. Ukimpenda atachukua udhaifu wako kukuendesha km gari bovu.
Huyo siku zake zinahesabika, atapigwa na kitu kizito chenye ncha kali kichwani mpk ashangae.
Nishayapitia. Sasa hivi nafanya mambo yangu
Hivi ni kwamba Rajabu hajui mabalaa yake? Anajua ila kapenda yakimshinda atajiengua. Wangapi wameoa wanawake wasio na watoto na cha moto wanakipata? Wacha ainjoy yakibumburuka atachapa lapa.Sii anataka kuoa single maza...
Khaaa! kwa hiyo ni maigizo?Ahahaahaa hamna wa kukufanyia huo upuuzi ....wanawake wanaonekana n wepesi sana kudanganyika ...wao et wanaamini hii ni ndoa kwel
SafiKuna wanawake wanastahili heshima zaidi ya hiyo kubadili jina na dini
ingekua hata damu naweza ibadili unaibadili tu,au u bin niitwe Controla Magreth
yani kuna wanawake ndoa haitoshi kumuonyesha thamani yake,maana ukifikiria namna
wamejitoa kwa ajili yako,amekuvumilia,amepita nawewe ktk kila bonde na akabaki na msimamo
ule ule kukupenda wakati wote wa maisha yake,mwana mke wa hivi wakati namvalisha pete tu
sipigi goti napga sarakasi nasimamia kichwa kisha ndio nachukua mkono wake namvalisha.
"siwezi.muiga.harmonize"
Hapa Mwamba umetuwakilisha vizuri Wanaume aulize alichofanyiwa clement wa Wema sasa hivi amegeuka kuwa muuza chips mapenzi ya kweli sio ya show off mastaa ambao Unaweza kusema hapa kuna userious ni ya NavykenzoHuyu muhuni anawaza namna gani abaki midomoni kwa watu muziki wake uende, na alishajua kajala ana kanyota fulani wakikaa wote.kama ilivyo yeye.
Hamna ndoa hapo yaani eti aitwe Robert kweli?
Amka hakuna wa kukufanyia huo upuuzi fanya kazi tu upate pesa yako
Sasa kama kuna kuchapa lapa sii bora umuweke ndani kinyumba tuu unajilia vyako bila kuingia kwa ndoa.Hivi ni kwamba Rajabu hajui mabalaa yake? Anajua ila kapenda yakimshinda atajiengua. Wangapi wameoa wanawake wasio na watoto na cha moto wanakipata? Wacha ainjoy yakibumburuka atachapa lapa.