Wanaume igeni mfano kutoka kwa Harmonize

Wanaume igeni mfano kutoka kwa Harmonize

Khaaa! kwa hiyo ni maigizo?
KondeGang MOVIE PRODUCTION Wanakuletea POCHI LA MANYOYA

Haki zote zimehifadhiwa

Director: Kajala Masanja
Sterring: Kajala Masanja
Story: Kajala Masanja
Make up: Mwijaku
Assistant Director: Kajala Masanja
Financial: Kajala Masanja
Cameraman: Paula Kajala
Supervice: Robert Rajab
Other issues: Man Biznes
c 2022
 
Asipokupenda humpendi?
Kosa kubwa sana la wanaume wanalolifanya ni kumpenda sana mwanamke. Matokeo yake ni yale unampiga mkeo risasi 7 na wewe unajiua
Kuna watu wamejiua na wengine wapo gerezani kwasabb ya kuwapenda wanawake.
Wanawake hawana shukrani. Mm nilikuwa na huruma sana na mwanamke na pia nilikuwa nawapenda sana. Sikupata faida yoyote zaidi ya kupoteza muda na fedha zangu.
Mwanamke muda wwte anakubadilikia
Faida ya kutompenda mwanamke, akizingua unapiga chini muda wowote.
Tunatofautiana, mwanaume akinipenda kweli kweli nae ataupata upendo wangu kwa uzito ule ule na hata kumzidi.
 
Asipokupenda humpendi?
Kosa kubwa sana la wanaume wanalolifanya ni kumpenda sana mwanamke. Matokeo yake ni yale unampiga mkeo risasi 7 na wewe unajiua
Kuna watu wamejiua na wengine wapo gerezani kwasabb ya kuwapenda wanawake.
Wanawake hawana shukrani. Mm nilikuwa na huruma sana na mwanamke na pia nilikuwa nawapenda sana. Sikupata faida yoyote zaidi ya kupoteza muda na fedha zangu.
Mwanamke muda wwte anakubadilikia
Faida ya kutompenda mwanamke, akizingua unapiga chini muda wowote.
Sasa nampenda vipi mwanaume asienipenda huko ni kujitafutia shida tu. Na hayo ya kuuana yanakuja na sababu tofauti tofauti wewe mwanaume fanya kwa kiasi chako yakikushinda acha hamna mtu atakushikia kiboko maamuzi ni yako mwenyewe.
 
Wanawake wengi hawataki kupendwa. Ukimpenda atachukua udhaifu wako kukuendesha km gari bovu.
Huyo siku zake zinahesabika, atapigwa na kitu kizito chenye ncha kali kichwani mpk ashangae.
Nishayapitia. Sasa hivi nafanya mambo yangu
Kila nyumba inashida zake pia matatizo ya ndoa yanatofautiana, msikariri jamani acheni mwenzenu ale raha !!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna wanawake wanastahili heshima zaidi ya hiyo kubadili jina na dini

ingekua hata damu naweza ibadili unaibadili tu,au u bin niitwe Controla Magreth

yani kuna wanawake ndoa haitoshi kumuonyesha thamani yake,maana ukifikiria namna

wamejitoa kwa ajili yako,amekuvumilia,amepita nawewe ktk kila bonde na akabaki na msimamo

ule ule kukupenda wakati wote wa maisha yake,mwana mke wa hivi wakati namvalisha pete tu

sipigi goti napga sarakasi nasimamia kichwa kisha ndio nachukua mkono wake namvalisha.

"siwezi.muiga.harmonize"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwenzenu kapenda jamani, comment za watu jamani hapana wabongo
 
Back
Top Bottom