Cvez
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 4,405
- 13,411
Wanapenda matukio sanaNdio maana wanapigwa matukio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapenda matukio sanaNdio maana wanapigwa matukio
Na kafanikiwa katika hilo.Huyu muhuni anawaza namna gani abaki midomoni kwa watu muziki wake uende, na alishajua kajala ana kanyota fulani wakikaa wote.kama ilivyo yeye.
Hamna ndoa hapo yaani eti aitwe Robert kweli?
Amka hakuna wa kukufanyia huo upuuzi fanya kazi tu upate pesa yako
Umesoma uzi vizuri mtoa mada anataka tumwige harmonize ndio tunamjibu sisi hatuwezi kuiga mapenzi yaliokaa kibongomovie alafu huyo huyo alitaka kumla mtoto wake kwa hiyo still mnataka tumuige mtu wa namna hii kweli?Lakini si kamtaka mwenyewe? Mabinti wapo wengi sana lakini kamchagua kajala, acha wafurahie penzi lao!
Uyo mmakonde keshakufa kaoza tayar, Bado kunuka TU[emoji4]Ukiona mwanaume yeyote anamuelewa mwanamke kupitiliza jua anakaribia kufa.
Hii komenti iwekewe laminationUkiona mwanaume yeyote anamuelewa mwanamke kupitiliza jua anakaribia kufa.
Kuna Uzi Kama huo,Ukiona watoto wa kike wanakusifia kwa kujua kupenda, fahamu fika kwamba zoezi zima la mapenzi limeshakushinda kwa asilimia 50%.
Nakazia[emoji106]Asipokupenda humpendi?
Kosa kubwa sana la wanaume wanalolifanya ni kumpenda sana mwanamke. Matokeo yake ni yale unampiga mkeo risasi 7 na wewe unajiua
Kuna watu wamejiua na wengine wapo gerezani kwasabb ya kuwapenda wanawake.
Wanawake hawana shukrani. Mm nilikuwa na huruma sana na mwanamke na pia nilikuwa nawapenda sana. Sikupata faida yoyote zaidi ya kupoteza muda na fedha zangu.
Mwanamke muda wwte anakubadilikia
Faida ya kutompenda mwanamke, akizingua unapiga chini muda wowote.
Sasa inahusiana nini rafiki yangu? eti kwa akili hizi ndio sababu tunapigwa matukio nyie huwa hampigwi matukio?? kama ni kiki watajua wao lkn katika uhalisia kuna wanaume aina ya Rajab wanaoa wanawake aina ya Kajala na ndio tunaowazungumzia hapa haki tena wanaume punguzeni makasiriko. Huu uzi wanaume mmejaa sana uchungu.Kelsea kwa akili yako timamu unaamini kabisa kuna mapenzi hapo kwa harmonize na kajala kwa akili hizi mlizonazo ndio maana mnapigwa matukio mapenzi ambayo yapo serious ni ya Navykenzo
Sawa kabisa akupende yeye zaidi,ukimpenda wewe lazima akubwage tu,hawajui wanachotaka k.ng.hawa.Wanawake wengi hawataki kupendwa. Ukimpenda atachukua udhaifu wako kukuendesha km gari bovu.
Huyo siku zake zinahesabika, atapigwa na kitu kizito chenye ncha kali kichwani mpk ashangae.
Nishayapitia. Sasa hivi nafanya mambo yangu
Jamaa kala kuku na mayai yake? 🤣🤣🤣🤣🤣Ndoa yaja
Binti wa kambo anaujua ududu wa babake wa kambo ukoje.na inasemekana wamewahi kunaniliu akiwa form two!!
Hapo kuna mashosti wa kajala..kama wolper..nae anaujua vema hahaha!
Hivi mastaa wanaishije?
Poleni sana.Sawa kabisa akupende yeye zaidi,ukimpenda wewe lazima akubwage tu,hawajui wanachotaka k.ng.hawa.
Wa thread yakoMrejesho upi
Mtoa maada anadeka Sana inaonekana na anavaa sendo na soksi na vibukta vifupiInaonekana wee kwenu Ni mtoto wa mwisho
Kwa hiyo kwa akili yako umeamini Paula alimsemea konde boy ila hakumgegeda?Hakumgegeda mtoto, alimtongoza akamkatalia na akamdhalilisha mbele ya hadhara