Cvez
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 4,405
- 13,411
Harmo hakumzaa Paula usifananishe kifo na usingizi, Harmo hana chochote anachoshare na Paula na alishaonyesha intention ya kumla Paula.Hivi wale wababa wanaokula mabinti zao wa kuwazaa nao wafanyweje maana kwa mujibu wa haya maelezo yako harmo 'alitaka kula' ila hakula,, acheni wivu wa kike aisee
Hao wababa wanaokula watoto wao wa kuwazaa wauliwe tu. Ila Harmo akimla Paula nitampa kongole sana.