Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani jamani badala yakuombea mazuri ni mabaya tu uwiiiiAlie kitu gani? Wabongo kwa kuombea wenzao mabaya
Hapa umeongea la maana kweli, yakimshinda si basi jamani ndiyo maana kuna taraka.Hivi ni kwamba Rajabu hajui mabalaa yake? Anajua ila kapenda yakimshinda atajiengua. Wangapi wameoa wanawake wasio na watoto na cha moto wanakipata? Wacha ainjoy yakibumburuka atachapa lapa.
Lakini si kamtaka mwenyewe? Mabinti wapo wengi sana lakini kamchagua kajala, acha wafurahie penzi lao!Sio tunaombea mabaya ila hatupendi mapenzi ya kiki huo uhusiano wao hautadumu kwasababu kajala kafuata ATM wakati harmonize yupo kwaajili ya kutafuta kiki mjini anaona mziki wake hauwezi kwenda bila skendo
Jamani aliyekuwa anambembeleza mwenzie nani?Yaani mimi nimpende mwanamke zaidi ya ninavyojipenda mwenyewe kwanza kiasi cha kufanya stupid decisions kama hizo?
Huyo jamaa ni mjinga na wanawake wanapenda wajinga ili wawaendeshe, mwanaume ndio unatakiwe umuongoze mwanamke na afuate miongozo yako na sio kuwa crash dummy.
Sijui kwanini namuonea huruma sanaNyie Nyie Nyie,
Ndo upate mwanaume akugande kama Rajab [emoji1787][emoji1787] Abadili jina kuwa Robert kwa ajili yako [emoji849][emoji849]
[emoji2956][emoji2956][emoji2956]
[emoji3064][emoji3064]Kuna watu wanapendwa jamani,
Wanaume igeni mfano kutoka kwakeView attachment 2273328View attachment 2273329View attachment 2273330View attachment 2273331
...👊👊👊Kuna wanawake wanastahili heshima zaidi ya hiyo kubadili jina na dini
ingekua hata damu naweza ibadili unaibadili tu,au u bin niitwe Controla Magreth
yani kuna wanawake ndoa haitoshi kumuonyesha thamani yake,maana ukifikiria namna
wamejitoa kwa ajili yako,amekuvumilia,amepita nawewe ktk kila bonde na akabaki na msimamo
ule ule kukupenda wakati wote wa maisha yake,mwana mke wa hivi wakati namvalisha pete tu
sipigi goti napga sarakasi nasimamia kichwa kisha ndio nachukua mkono wake namvalisha.
"siwezi.muiga.harmonize"
Waambie waambie waambieNyie Nyie Nyie,
Ndo upate mwanaume akugande kama Rajab [emoji1787][emoji1787] Abadili jina kuwa Robert kwa ajili yako [emoji849][emoji849]
[emoji2956][emoji2956][emoji2956]
[emoji3064][emoji3064]Kuna watu wanapendwa jamani,
Wanaume igeni mfano kutoka kwakeView attachment 2273328View attachment 2273329View attachment 2273330View attachment 2273331
Lidada au limama?Nimekuwa impressed na hii story , na mm umri wangu ni kama Hamonize sema sina hela.
Ila nahisi kuna raha sana kudate na lidada limekuzidi kama 10 years flani hiviii
Lidada la mjini kama kajala, lizur ,lisafi au limezaa kwa mpango.
Sio hivi vi tweentage hata mkikaa hamjui mna discuss nn
Mrejesho upiyea
mkuu mrejesho 😅😅😅🔥🔥
Ilo si zengwe tu, nachojua anamlia timing Paula, na pete inaweza kaa miaka na miakaNyie Nyie Nyie,
Ndo upate mwanaume akugande kama Rajab [emoji1787][emoji1787] Abadili jina kuwa Robert kwa ajili yako [emoji849][emoji849]
[emoji2956][emoji2956][emoji2956]
[emoji3064][emoji3064]Kuna watu wanapendwa jamani,
Wanaume igeni mfano kutoka kwakeView attachment 2273328View attachment 2273329View attachment 2273330View attachment 2273331
Hakumgegeda mtoto, alimtongoza akamkatalia na akamdhalilisha mbele ya hadharaYaani mama anagegedwa kisha mgegedaji anahamia kwa binti wa mama naye anamgegeda, halafu unataka wanaume tumuige konde boy?
Ni upuuzi mtupu mie siwezi kuiga huo upuuzi.
Kelsea kwa akili yako timamu unaamini kabisa kuna mapenzi hapo kwa harmonize na kajala kwa akili hizi mlizonazo ndio maana mnapigwa matukio mapenzi ambayo yapo serious ni ya NavykenzoTunatofautiana, mwanaume akinipenda kweli kweli nae ataupata upendo wangu kwa uzito ule ule na hata kumzidi.
Ndio maana wanapigwa matukioIla Wanawake wana kaujinga fulani hivi now they praise Harmonize kama Mr. Romantic. Yaani mtu aliyetaka kukula wewe na mwanao bado unamrudisha katika circle yako?