Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Hapa nilipo napambana kukemea hili pepo 😀 😀Ha ha ha......poleni Sana wakuu[emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa nilipo napambana kukemea hili pepo 😀 😀Ha ha ha......poleni Sana wakuu[emoji28]
😀😀😀Bado sijatekwa, nipo kwenye mafungo ya mwezi mzima
Na baadhi ya sehemu kuna baridi na hizi mvua mvua inakuwa tatizo zaidiUtelezi utatuua
Muhimu kuondoa msongo wa mawazoJf maigizo ni mengi
Ugwadu mkuuUnafikiri tatizo ni nini
To yeye nikufungulie siledi?Siku za karibuni kumekuwa na nyuzi za sisi wanaume kuwafungukia hawa warembo wetu wa humu jamvini.
Wengi tunajiuliza kwa nini hizi nyuzi zinafuatana sana, kulikoni kuna nini?
Au hawa warembo wameshatuendea kwa babu na kutupika kwenye vyungu nini? 😀 😀
Mabaharia wenzangu, njooni kwenye kikao tujadili, inawezekana hawa wameshatu-'overtake'
Haiwezekani, hata mimi kuna jina linakuja kuja la kumuanzishia uzi; watakuwa wametupika hawa.
Warembo wetu mtuhurumie watoto wa wanawake wenzenu.
Baba J.huna mengi......Ha ha ha......poleni Sana wakuu[emoji28]
Jf ni kaoleJf maigizo ni mengi
Nimechoka nazo mbona
Huwa unafanya hivyo pia To yeye mkikosana? 😋😋
Hii mara ya pili hii,em naomba uje mbeya nikupee🤒kiukweli To yeye namzimia sana tena sana na Ninampenda❤