Sega la asali
JF-Expert Member
- Oct 5, 2023
- 1,153
- 2,700
Leo Kitombile kazi inayo๐๐๐Yako radhi yakomalie jike moja afu yakishakojoa ndo akili zinarud๐๐๐๐
Sasa zina ubaya gani izo message. Mtu kukutext hi/hello/mambo kosa liko wapiThanks yaani wakware kweli imagine message tano zote Hi, hello, mambo
HahahaKuna uvamizi wa israel then kuna huu uvamizi wa kustukiza wa Magdalena itoshe kusema Magdalena ni jina takatifu
Umeshuka sababu wengine wamefanya km vyanzo vya mapato wanagawia mpk matahiraInasikitisha sana na tatizo ndio limeshajikita mizizi inabidi kuishi tu umo umo. Uchi wa mwanamke umeshuka sana thamani.
๐Tuongeze sifuri mbili hapo nyuma Injinia ?kanilia 9000 yangu yule, roho bado inaniuma kinoma
iwe 009000 au ?๐Tuongeze sifuri mbili hapo nyuma Injinia ?
Thamani ya awali ilikuajeInasikitisha sana na tatizo ndio limeshajikita mizizi inabidi kuishi tu umo umo. Uchi wa mwanamke umeshuka sana thamani.
Hahaha๐๐๐๐[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wapeane zamu nani aanze kubonโgoka shenzy zao
Yeah Mchumba Au Mme!! Yawezekana yupo humu so wajibu uwasikilize ujichaguliweMchumba tena
๐๐๐๐Una maneno mazito
Hayafai kuonekana kwenye mboni za macho yangu๐คฃ๐.
Nyuzi za namna hii sifungui nikikukuta๐คฃ
Good night.
halafu siku izi mbona hamtoi povu,Michango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!
Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.
Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?
Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?
Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....
Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.
Msiwafanye wanawake objects.
Povu ruksa.
Nipo kwenye ndoa na "mbwa" fulani tunayevumiliana!Yeah Mchumba Au Mme!! Yawezekana yupo humu so wajibu uwasikilize ujichaguliwe
AsanteeHamna, ni upendo tu....unaona kabisa mtu anakupenda, anakuthamini,anakuheshimu na kukujali Kwanini nimbanie sasaโบ๏ธ
Mwanamke saivi Hana Thamani, kabisa sabab ni wanawake hao hao ndo wamejishusha Thamani yao kwa kutangliza tamaa mbele!! Sasa hapo kwanini wanaume wasiwatumie wanavyo taka.Tatizo linaanzia kwetu wenyewe kwann ukubali kutumika hovyo??
Hivi wanawake tugome kuwapa wanaume hovyo hizo guts za kutusema MALAYA watazitolea wapi??
Tatizo baadhi yetu tuko cheap na vitamaa vya kingese ndiomana tunadhalilishwa. Mara tunagongwa kwa sate sauzandi, mara 3k
Hapo kwenye kukujali ungesema tu anakupa hela [emoji3][emoji3][emoji3]Hamna, ni upendo tu....unaona kabisa mtu anakupenda, anakuthamini,anakuheshimu na kukujali Kwanini nimbanie sasa[emoji3526]
Ukijifanya "object" unakuwa ni "object" kweli.Michango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!
Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.
Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?
Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?
Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....
Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.
Msiwafanye wanawake objects.
Povu ruksa.
๐คญKutamani pesa au kumwagiwa wazungu
Tulia wewe ๐คจ๐คจ๐Hapo kwenye kukujali ungesema tu anakupa hela [emoji3][emoji3][emoji3]