Asante sana umejua kuongea ukweli leo japo yatakuja humu yamekasirika yataanza kubwataNimeupitia masihara mengine ni kama ubakaji! Na story nyingi anayeanzisha masihara ni mwanaune!
Chanzo ni nyie! Kwanini uniamshe hisia halafu nikikupa ukanitangazie umalaya!
Tunaangalia ligi inavyokwendawapenzi watazamaji tuko hapa
Mimi mzima kabisaMarahaba mdogo wangu
U hali gani wewe?
🤣🤣🤣 wewe hata usijali mdogo wangu, jamaa hana shida!kaka mbona tunatishana tena
AsanteAsante sana umejua kuongea ukweli leo japo yatakuja humu yamekasirika yataanza kubwata
Aiseee hapo umenena mpaka mwili umenisisimka 😄😋🔥🔥🔥Kwanini nisihitaji sasa☺️,, mimi nina uhitaji nalo sana that's why napenda niwe namtimizia mtu wangu kwa wakati ili nayeye awe anafanya hivyohivyo kwangu
Ohoooo mpalange tena kivumbi leoooWaanzishaji wa michezo ya mpalange ni nani? Mbona mnapenda kuomba omba huko. Mkoje?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe hata usijali mdogo wangu, jamaa hana shida!
Mimi nina kifua Lamomy 😄😋Watoto wa kiume siku hizi hamna vifua, muda wote wanalalamika
Tezi dume zitawaua wakusanya uchafu, we waacheOhoooo mpalange tena kivumbi leooo
Mada naona inazidi kuchanganya kivumbi leoooTezi dume zitawaua wakusanya uchafu, we waache
Wewe huwa sio mtu wa hasira, imekuwaje tena!!Asante sana umejua kuongea ukweli leo japo yatakuja humu yamekasirika yataanza kubwata
Pumzika kidogo mamaTezi dume zitawaua wakusanya uchafu, we waache
Kama umekubali hiyo ni hiyari yakoThank you. Ndo hao "huwalazimisha" wanawake kufanya uchafu wa kila aina halafu lawama kwa mwanamke tena.
Sijaongea kwa hasira wala...ni tone ya kati kabisa hiyoWewe huwa sio mtu wa hasira, imekuwaje tena!!
Mimi sijapenda hata🤣🤣Sijaongea kwa hasira wala...ni tone ya kati kabisa hiyo
Yupo kwenye mishe akitoka anapitia kwenye bia mi leo sipo busy acha niwanange wanaumePumzika kidogo mama
Jf itakumaliza nguvu ushindwe kuhudumia ndoa vizuri😅
🤣🤣🤣🤣 namsaidia mtoa mada amechoka kufanywa objectMimi sijapenda hata🤣🤣
Tumekuomba msamaha umeshinda mamaYupo kwenye mishe akitoka anapitia kwenye bia mi leo sipo busy acha niwanange wanaume