Waongo wale waongo sanaaaTunatoa mihela na kupiga gongo tano hadi kumi wewe, nenda kwa Riki usome ushuhudaπ€£π€£
Njoo wii wa ukoo!! Sasa uwahi kabla nyakunyaku hawajakuwahiπ€£π€£π€£Unanipanga eeh nitakuja kula x mass aisee Nije kuwapikia na kakaako ππ
Sasa unabisha nini, hujawahi kutana na Me akakuweka vinane vya chaap?π€£π€£π€£Waongo wale waongo sanaaa
Nane π subutuuu labda viwe vya muda mfupi kama jogooSasa unabisha nini, hujawahi kutana na Me akakuweka vinane vya chaap?π€£π€£π€£
Na mimi nataka bro mmoja πNjoo wii wa ukoo!! Sasa uwahi kabla nyakunyaku hawajakuwahiπ€£π€£π€£
Njoo tumchune bro
Thubutuuuuu!!! ππππTunatoa mihela na kupiga gongo tano hadi kumi wewe, nenda kwa Riki usome ushuhudaπ€£π€£
Inaelekea bado haujajitegemea bado unamtegemea mtu. Usifuatilie maisha ya mtu yeyote. Fanya kazi kwa malengo kula raha zako. Nimezunguka dunia kuna watu wana starehe za kutisha lakini wana maisha mazuri kuliko wanafiki wanaoshinda makanisani. Huku Ulaya kuna mabosi wanavuta Unga na bado kwenye kazi hawana masihara. Muhimu ni kupiga kazi na kuishi unavyotaka wewe. Maisha mafupi haya.Michango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!
Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.
Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?
Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?
Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....
Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.
Msiwafanye wanawake objects.
Povu ruksa.
Sasa jaribu kwa huyu mzee wa hovyo uone balaa lakeπ€£π€£π€£Nane π subutuuu labda viwe vya muda mfupi kama jogoo
Sasa hizo bikra mnazotaka kuoa mtazipata wapi wakati mnashindana kuwabikiri watoto wadogo? Yaani haiji kabisaKwani ulivunjwa bikra na wanaume wote ??si uligongwa tu kivyako umejificha mbona makali hivi ??? Au ulilazimishwa upeane ??
Cha mwisho ndio wanaume wanakosea kuleta nyuzi za kipuzi sikatai ila in my opinion ni kwa kuwa wamewaweka ke kwa ujumla on a higher pedestal , kwa wanaotangaza wanaona yani kimasikhara bila mvutano sio kawaida ,wana expectations za juu on women .
Ila tunda kuliwa ni jambo la kawaida sana
πππMilioni ya nini, yaani kwa K hii hii ninayoifahamu au ni nyingineπ€£π€£π€£, sema yapo maboya yanatanguliza pesa ili kupewa utamu...aisee wanaume wengi wanaumizwa sana!
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ kwanini Nathan lakini nmecheka sana
πππMilioni ya nini, yaani kwa K hii hii ninayoifahamu au ni nyingineπ€£π€£π€£, sema yapo maboya yanatanguliza pesa ili kupewa utamu...aisee wanaume wengi wanaumizwa sana!
Kama nakufahamu vileSasa hizo bikra mnazotaka kuoa mtazipata wapi wakati mnashindana kuwabikiri watoto wadogo? Yaani haiji kabisa
[emoji1787]Pumzika kidogo mama
Jf itakumaliza nguvu ushindwe kuhudumia ndoa vizuri[emoji28]
Umejaribu version ya jf au unaongea tu?π€£π€£Thubutuuuuu!!! ππππ
Wale wanachangamsha genge CHAI nyingi mle. Show za KITARZAN bado sana pale
Acha zipigwe hapa hapaMheshimiwa Supika! Taarifa.
Umepata njoo ule pesa zisizo na masimango za wakinga πNa mimi nataka bro mmoja π
Nguruwe pita sina mkuki mieeeee πππππ nije nikute kathread kangu kanatrendSasa jaribu kwa huyu mzee wa hovyo uone balaa lakeπ€£π€£π€£
Wa kitaa si ndo hawa hawa wamatumbi wa jf au kuna new version niupdate?? πππUmejaribu version ya jf au unaongea tu?π€£π€£
Usijali lazima tutume fungu la kumi tunajua wifi Ana mdomo lazima tujiongeze....ila asiwe vunja bei tu ππππππUmepata njoo ule pesa zisizo na masimango za wakinga π
Tena wifi yenu nawasaidia kukazia muwachune ila mgao muhimu π€ΈββοΈπ€ΈββοΈ