Hao MALALAMIKO FC kila siku nyuzi za kutusema π€£π€£π€£Halafu waje tena hapa na ushahidi wa screenshots ,, hapana kwakweli ππππ
We kila mtu jiran yakoπJirani uende ukapewe amsha amsha pm πππ
Na haijajibiwa hadi sasaComment imejipambanua vyema kabisa hiyo.
Halafu mtu kama huyo anatuona wanaume tuna tatizo, aiseee!!!Na haijajibiwa hadi sasa
Namsikitikia na pole nyingi kwake.Halafu mtu kama huyo anatuona wanaume tuna tatizo, aiseee!!!
Jirani zangu me wawili tu!! πππWe kila mtu jiran yakoπ
Sasa niwe nna wivu na mwanamke mwenzio ?Jirani zangu moo wawili tu!! πππ
Ushaanza wivu jirani
Ko una wivu na majirani wanaume wenzio? π€£π€£π€£Sasa niwe nna wivu na mwanamke mwenzio ?
Jirani ushaanza kuvuta ile kitu eh π π
Sina wivu na yeyote, koma πKo una wivu na majirani wanaume wenzio? π€£π€£π€£
π€£π€£π€£ Thubutuuuuu!!! Jeuri hiyo huna!!Sina wivu na yeyote, koma π
Uwezo huo nnaoπ€£π€£π€£ Thubutuuuuu!!! Jeuri hiyo huna!!
Sema kweli? π€£π€£π€£Uwezo huo nnao
Sisemi kitu πΆSema kweli? π€£π€£π€£
π€£π€£π€£π€£ Jirani twende kwenye uzi wa Mshana kuna jambo la kujitolea mtu wangu.Sisemi kitu πΆ
Niite huko niitike sijauona huo uziπ€£π€£π€£π€£ Jirani twende kwenye uzi wa Mshana kuna jambo la kujitolea mtu wangu.
Si unajua tuko kwenye mwezi wa rozali, twende tukafanye matendo ya huruma
Jirani mkorofi wewe π€£π€£π€£Niite huko niitike sijauona huo uzi
Tunatoka wote tunaenda wapi?πJirani mkorofi wewe π€£π€£π€£
Haya nakuita ili tuambiwe tunatoka wote humu!! πππ
Chobingo π€£π€£π€£Tunatoka wote tunaenda wapi?π
Sisi sio milimaa kwahiyo sio vibaya πChobingo π€£π€£π€£