Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 2,904
- 7,489
Mi nataka uje unisikilizishe unazo imbaga upande mwingine ule.Nataka kutoa song la mahaba bhana πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nataka uje unisikilizishe unazo imbaga upande mwingine ule.Nataka kutoa song la mahaba bhana πππ
haha we fala kweli!
Fikiria vizuri Mkuu.Sijawahi kuliwa kimasihara
Yako ipo wapi hebu nitag usikute tulikuwa woteFikiria vizuri Mkuu.
Utuletee kimasihara yako kule.
Nachompendea mke wangu Leejay49 huwa hana mambo mengiPole mwaya ndo walivyo hivyo.....chamsingi ni kuacha tu tamaa na kufocus na mambo yako ya msingi, nakuahidi hutokutana na shida kama hizo tena
Tuchat Pm basi bibie, nikuamshe hisia na mimi unipe [emoji39][emoji4]Chanzo ni nyie! Kwanini uniamshe hisia halafu nikikupa ukanitangazie umalaya!
Mwenzenu akiamshwa tu hisia, anatoa yote [emoji4]Binafsi, Mimi ke siwezi kuwa na hisia kwa mtu nisiyempenda hata anitomase vipi . Sipendi hata anisogelee.
Ungeongezea hivi " na bado wakware wakiniamsha hisia nawapa yote kwani kuna tabu? "Nimeolewa na aliyenioa wala hajanikuta bikra! Kuna tabu?
Chino Nitakuchapa πππMi nataka uje unisikilizishe unazo imbaga upande mwingine ule.
Hawaelewi kama tunawala kwa tamaa zao wenyewe.
Wewe tena bff unanifanyia mnada mchana kweupe πππNipe kazi ya kukuunganishia kwa huyu within 24 utakuwa naye hapo geto π€
Jirani uende ukapewe amsha amsha pm πππWee usiniambie ππ€
Comment imejipambanua vyema kabisa hiyo.Kwahiyo we kila anaekutaka unampa?
Halafu waje tena hapa na ushahidi wa screenshots ,, hapana kwakweli ππππJirani uende ukapewe amsha amsha pm πππ