Wanaume JF acheni kuwafanya wanawake kuwa "objects"

Wanaume JF acheni kuwafanya wanawake kuwa "objects"

Wanaficha wasifahamike,

Hapo huwa unajiuliza men aina gani hawa,toka mars or jupiter🤣
Ila ndio sisi hao amini hivyo .
Wasifahamike vipi maana mfano wew I’d yako ni Zulu man,ila ukifika kwenye ule uzi wa uwongo unajiita Nyani mzee sasa si utakuwa ni ukichaa😁😁

Najua yale wanayo andika wana wish Wangefanya ila ndo hivyo kimoja chali🐒
 
3k hiyo sio level yangu aiseee!! Wapo wahusika wa kuruka nazo 🤣🤣🤣
Unaona sasa...🤣🤣

Kumbe hatuendani kabisa,wewe ni expensive mama

Kijana wa watu hivyo 3k kuipata X mass to Xmass jinsi nilivyochacha.

Hapa najaribu kuzurula huenda nikaokota hata barabarani 1 USD kwa bahati mbaya.
 
Wasifahamike vipi maana mfano wew I’d yako ni Zulu man,ila ukifika kwenye ule uzi wa uwongo unajiita Nyani mzee sasa si utakuwa ni ukichaa😁😁

Najua yale wanayo andika wana wish Wangefanya ila ndo hivyo kimoja chali🐒
Tuvumilie lakini huwa tunajitahidi kwenda vingi japo stress za maisha zinatutoa kwenye mchezo😅
 
Michango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!

Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.

Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?

Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?

Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....

Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.

Msiwafanye wanawake objects.

Povu ruksa.
Sasa mbn kama povu linakushuka we kuweza
 
Back
Top Bottom