Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
Ewaaa kikamba kimefunia chuchu tu😎Hilo ndo muhimu safari verde kwenye visiwa vya karafuu 😂😂😂
Me nishaandaa vikamba kamba vya kuogelea 🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ewaaa kikamba kimefunia chuchu tu😎Hilo ndo muhimu safari verde kwenye visiwa vya karafuu 😂😂😂
Me nishaandaa vikamba kamba vya kuogelea 🤸♀️🤸♀️🤸♀️
3k hiyo sio level yangu aiseee!! Wapo wahusika wa kuruka nazo 🤣🤣🤣Sio masharti ya mganga🤣.
Ukila 3k lazima utoe
Ndio maana nakupenda, wewe hutaki kuoeana pesa, penzi tupate wote halafu nikupe sate kweli🤣🤣🤣Shindwaaa pepo sete sauzand utawapa hao hao wa buza Akina mwafulani
Kina mkomao wenye sugu za carolite 😂😂😂Shindwaaa pepo sete sauzand utawapa hao hao wa buza Akina mwafulani
Wasifahamike vipi maana mfano wew I’d yako ni Zulu man,ila ukifika kwenye ule uzi wa uwongo unajiita Nyani mzee sasa si utakuwa ni ukichaa😁😁Wanaficha wasifahamike,
Hapo huwa unajiuliza men aina gani hawa,toka mars or jupiter🤣
Ila ndio sisi hao amini hivyo .
Hapo utadangwa weye na utaibiwa aifoni yako 🤣🤣🤣Hivi anajisikia kweli anachoongea huyu🤣🤣🤣🤣
Na kinachofunika kidude tyuu!! 🤸♀️🤸♀️🤸♀️Ewaaa kikamba kimefunia chuchu tu😎
Unaona sasa...🤣🤣3k hiyo sio level yangu aiseee!! Wapo wahusika wa kuruka nazo 🤣🤣🤣
Asante 🙏🏿Tunza papa lako uone km kuna mtu atakutangaza. Sio kila me wa kumvulia nguo.
Heshimu mwili wako.
Funguo inayofungua kila kufuli inaitwa master key
Jichunge usiwe miongoni mwao, sidhani km umetulia na mme wako mmoja afu atokee mwanaume wa kukuita malaya.
Tuvumilie lakini huwa tunajitahidi kwenda vingi japo stress za maisha zinatutoa kwenye mchezo😅Wasifahamike vipi maana mfano wew I’d yako ni Zulu man,ila ukifika kwenye ule uzi wa uwongo unajiita Nyani mzee sasa si utakuwa ni ukichaa😁😁
Najua yale wanayo andika wana wish Wangefanya ila ndo hivyo kimoja chali🐒
Bora umeandika ukweli mchungu 😁Tuvumilie lakini huwa tunajitahidi kwenda vingi japp stress za maisha zinatutoa kwenye mchezo😅
Binafsi, Mimi ke siwezi kuwa na hisia kwa mtu nisiyempenda hata anitomase vipi 🚮. Sipendi hata anisogelee.
Kwahiyo umekubali pia vijana wa ule uzi wanapeleka jinsia "ke" mwendo wa jeshi?Bora umeandika ukweli mchungu 😁
Sijakubali moja ya comments zangu nimeandika wale vijana wanatamani wangekuwa na nguvu hizo.Kwahiyo umekubali pia vijana wa ule uzi wanapeleka jinsia "ke" mwendo wa jeshi?
Hahahaha ok mama.Sijakubali moja ya comments zangu nimeandika wale vijana wanatamani wangekuwa na nguvu hizo.
Sasa mbn kama povu linakushuka we kuwezaMichango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!
Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.
Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?
Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?
Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....
Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.
Msiwafanye wanawake objects.
Povu ruksa.
Kina mkomao wenye sugu za carolite 😂😂😂
Naona dalili zote hapa nitaambiwa nilipe lodge kasahau walletHapo utadangwa weye na utaibiwa aifoni yako 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 aifoni zao 7 plus zenye macover ya cartoonEwaaaa na vindala vyao vya tandika
Usije kusema sijakwambia 🤣🤣🤣Naona dalili zote hapa nitaambiwa nilipe lodge kasahau wallet