ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Achana na hao, wanazusha vile tayari wanaona makopakopa yanaanza..haha🤣🤣🤣Onhooo jf never boring
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na hao, wanazusha vile tayari wanaona makopakopa yanaanza..haha🤣🤣🤣Onhooo jf never boring
Nakaribia kumaliza soon chombo kwa hewa 🤣🤣🤣Nitakuwa nakusubiria babe wangu 🤗😘 lv u
Mbona sijalipata hilo shogare 😂😂😂Mbona tayari washanipa pdf😆😆😆😆
Kifua unacho 🤣🤣Mbona sijalipata hilo shogare 😂😂😂
Emu nipe intro kwanza
Uongo 🤣🤣🤣Hapana🤣
Umenielewa vibaya
Awali si nilikuambua niko kwa shemeji nimehifadhiwa tu sababu sina dira,kwa shemeji utapaitaje "ghetto"?🤣 heshimu nyumba ya shemeji rafiki,ujue ndio napata tonge kujaza tumbo hapa
Kijiwe gani hicho Anna? Ule uzi wa picha kule chit chat?Sijui hata amepotelea wapi
Toka kijiwe chetu kihujumiwe jobless nimetenganishwa na nyie maboss zangu😭
Mmmh, nikadhani wewe ndio umemwambia...ila huna baya na mimi, ninyooshee njia basi🤣Mbona sijalipata hilo shogare 😂😂😂
Emu nipe intro kwanza
Kipo mwali wangu nipe ladha 😂😂😂Kifua unacho 🤣🤣
🤣🤣🤣 ko me ndio mama mapdf humu??Mmmh, nikadhani wewe ndio umemwambia...ila huna baya na mimi, ninyooshee njia basi🤣
Hiyo ni nature..Inaboa yaani. Kutwa kunyemelea vitoto vya shule halafu kuoa eti wanataka bikra!
Na boda yupo tiyari kashafika mkwajuni! Kukuchukua.Soon nipo studio 😂😂😂
Hii sio loose ball, hii ni kazi ya uhakika mkuu🤣🤣🤣 fanya basi nitembee mkoani, nina mda sana..japo nahisi ananidanganya huyu, atakuwa mitaa ya Kimara au Tegeta🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ko me ndio mama mapdf humu??
Ila ERon ntakuchapa 😂😂😂
Huyo mtoto kitendo cha kuniambia tayari ushampata, pesa ipo lakini mzee wa loose balls!!? Mtoto hataki shida huyo🤣🤣🤣
Kumekucha kumekuchaaaaaaaaa.....bff huyu ataweza kununua rozali ya gold kweli🤣🤣🤣 ko me ndio mama mapdf humu??
Ila ERon ntakuchapa 😂😂😂
Huyo mtoto kitendo cha kuniambia tayari ushampata, pesa ipo lakini mzee wa loose balls!!? Mtoto hataki shida huyo🤣🤣🤣
Kwann umewaza mkoani why not nje ya Africa acha zarau ntakuchapaaaaHii sio loose ball, hii ni kazi ya uhakika mkuu🤣🤣🤣 fanya basi nitembee mkoani, nina mda sana..japo nahisi ananidanganya huyu, atakuwa mitaa ya Kimara au Tegeta🤣🤣🤣
Huohuo MkuuKijiwe gani hicho Anna? Ule uzi wa picha kule chit chat?
Nini kimetokea kwani?
Studio kwa zombie sio kino mchuchu 😂😂😂Na boda yupo tiyari kashafika mkwajuni! Kukuchukua.
Fanya fasta uwahi kurudi
Heee nina homesickness, siendi mbali na kwetu. Ila ukipata chance ya kurudi bongo si nakuja Airport kukupokea🤣Kwann umewaza mkoani why not nje ya Africa acha zarau ntakuchapaaaa
Siku nashika pesa mingi kama hiyo nitakupa rafikiUongo 🤣🤣🤣
Emu acha kutubania hizo afu tatu 🤸♀️🤸♀️
Nakutumia ticket ujeeeeHeee nina homesickness, siendi mbali na kwetu. Ila ukipata chance ya kurudi bongo si nakuja Airport kukupokea🤣
🤣🤣🤣 wewe mkoani usije tuma tickets za Twiga na ya mpambe nikuletee mpenzi wa ndoto zako!! Na me niko mkoani 😜Hii sio loose ball, hii ni kazi ya uhakika mkuu🤣🤣🤣 fanya basi nitembee mkoani, nina mda sana..japo nahisi ananidanganya huyu, atakuwa mitaa ya Kimara au Tegeta🤣🤣🤣