ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Kasema yupo nje ya Africa bwana, tickets za Uswisi naziwezaje mimi🤣🤣🤣🤣 wewe mkoani usije tuma tickets za Twiga na ya mpambe nikuletee mpenzi wa ndoto zako!! Na me niko mkoani 😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasema yupo nje ya Africa bwana, tickets za Uswisi naziwezaje mimi🤣🤣🤣🤣 wewe mkoani usije tuma tickets za Twiga na ya mpambe nikuletee mpenzi wa ndoto zako!! Na me niko mkoani 😜
upo unaweka masajala yako vizuri hahaha.Studio kwa zombie sio kino mchuchu 😂😂😂
Anaweza ERoni ana pesa za kutosha ushindwe wewe bff 😂😂😂Kumekucha kumekuchaaaaaaaaa.....bff huyu ataweza kununua rozali ya gold kweli
Unaona sasa....endelea kula hao wa boko na bunju😆Kasema yupo nje ya Africa bwana, tickets za Uswisi naziwezaje mimi🤣
Nishasema siendi mbali na kwetu, ukija nitakufanyia reservation hoteli unayotaka🤣🤣 then hapo ndio itapigwa Russia vs Ukraine.Nakutumia ticket ujeeee
Wee Sema kweli basi nikija atupeleke tukatembee zanzibar tulale zetu Verde👌😋Anaweza ERoni ana pesa za kutosha ushindwe wewe bff 😂😂😂
Afu yuko single ogopa matapeli 🤸♀🏃♀️🏃♀️🏃♀️
🤣🤣🤣 Hizo pesa za moto ndo nazitakaSiku nashika pesa mingi kama hiyo nitakupa rafiki
Lakini nitakupa kwa masharti hadi melo atasimamia la sivyo nitakufungulia uzi .🤣
Ungekuwa mjanja unatuma nauli kabisa jamani mbona mambo madogo haya...tukufundishe kila kitu 😅Nishasema siendi mbali na kwetu, ukija nitakufanyia reservation hoteli unayotaka🤣🤣 then hapo ndio itapigwa Russia vs Ukraine.
Nakutaka wewe wa Uswisi🤣🤣🤣, makopa tayari!Unaona sasa....endelea kula hao wa boko na bunju😆
Habari ya kutuma nauli haipo, haijawahi kuwepo na haiji kuwa🤣🤣Ungekuwa mjanja unatuma nauli kabisa jamani mbona mambo madogo haya...tukufundishe kila kitu 😅
Itsa red flag 🚩 naona hatutashiba kabisaHabari ya kutuma nauli haipo, haijawahi kuwepo na haiji kuwa🤣🤣
Heeee, sitaki kupandisha uzi wa kuliwa nauli yangu🤣🤣ila ukija tu kuna sete sauzand mfukoni..hahaha!!Itsa red flag 🚩 naona hatutashiba kabisa
Sio masharti ya mganga🤣.🤣🤣🤣 Hizo pesa za moto ndo nazitaka
Wakinga hatupendi pesa zisizo na masharti
[emoji28][emoji28][emoji28]Itsa red flag [emoji626] naona hatutashiba kabisa
Ndio wanaume sisi ni saints tumeumbwa kwa mfano wake Mungu,tofatuti na nyie mlitoka ubavuni.Nakubaliana nawe.
Humu wanaume hujiona saints! Wakijisahau tu utasikia nilimla mke wa rafiki yangu! Baadae rafiki zake wataanza ....
Mara nipo dodoma na mtoto mkali! Mke wake wa dar akitongozwa tu mnanunua mkaa gunia mbili.
Balance inahitajika
Hilo ndo muhimu safari verde kwenye visiwa vya karafuu 😂😂😂Wee Sema kweli basi nikija atupeleke tukatembee zanzibar tulale zetu Verde👌😋
Wazee wa sate sauzandi 🤣🤣🤣Heeee, sitaki kupandisha uzi wa kuliwa nauli yangu🤣🤣ila ukija tu kuna sete sauzand mfukoni..hahaha!!
Shindwaaa pepo sete sauzand utawapa hao hao wa buza Akina mwafulaniHeeee, sitaki kupandisha uzi wa kuliwa nauli yangu🤣🤣ila ukija tu kuna sete sauzand mfukoni..hahaha!!
Nataka kutoa song la mahaba bhana 😂😂😂upo unaweka masajala yako vizuri hahaha.
Hivi anajisikia kweli anachoongea huyu🤣🤣🤣🤣Wazee wa sate sauzandi 🤣🤣🤣