Wanaume JF acheni kuwafanya wanawake kuwa "objects"

Wanaume JF acheni kuwafanya wanawake kuwa "objects"

Bora umesema wewe jirani... yani wadada sijui hua tunakwama wapi

Tatizo linaanzia kwetu wenyewe kwann ukubali kutumika hovyo??
Hivi wanawake tugome kuwapa wanaume hovyo hizo guts za kutusema MALAYA watazitolea wapi??
Tatizo baadhi yetu tuko cheap na vitamaa vya kingese ndiomana tunadhalilishwa. Mara tunagongwa kwa sate sauzandi, mara 3k
 
Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?

Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?



Astakafiru...!
Astakafiru...!
Astakafiru...! [emoji1544][emoji1544][emoji1550][emoji1550][emoji1550]

Sent using Jamii Forums mobile app
Dada kachamba hatari. Mange ni mwanafunzi
 
Tatizo linaanzia kwetu wenyewe kwann ukubali kutumika hovyo??
Hivi wanawake tugome kuwapa wanaume hovyo hizo guts za kutusema MALAYA watazitolea wapi??
Tatizo baadhi yetu tuko cheap na vitamaa vya kingese ndiomana tunadhalilishwa. Mara tunagongwa kwa sate sauzandi, mara 3k
Ndo hivyo. halafu still mtu anakuja jukwaani kama hivi analia eti anaonewa😅🤭...nonsense kabisa🤒🚮🚮
 
Tatizo linaanzia kwetu wenyewe kwann ukubali kutumika hovyo??
Hivi wanawake tugome kuwapa wanaume hovyo hizo guts za kutusema MALAYA watazitolea wapi??
Tatizo baadhi yetu tuko cheap na vitamaa vya kingese ndiomana tunadhalilishwa. Mara tunagongwa kwa sate sauzandi, mara 3k
Kwa hiyo minyege mnataka mkatolee wapi?
 
Michango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!

Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.

Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?

Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?

Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....

Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.

Msiwafanye wanawake objects.

Povu ruksa.
Sio wote sisi wengine ni tunawapenda wake zetu
 
Back
Top Bottom