Magdalene_joseph
JF-Expert Member
- Jun 26, 2023
- 231
- 617
- Thread starter
- #101
Unaumwa! Kachukue ya mange igYako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaumwa! Kachukue ya mange igYako
ndo atulie sasa😅😅🙌Akae kwa kutulia dawa imuingie sio? 😅
Atapata mume akishavuka over 18 na kumaliza masomoMsimkatae binti wa watu hadharani
Thanks 😍😘Point of the day
Namwelewa sana😃😃😃... namvuta tu nimpe moja kubwa akatafute babycare apige nyeto alale, mimtu mingine sijui ikoje🤣🤣🤣🤣🙌huyo jamaa ana id kibao, ndo yule mzee wa dislikes
kazi kutukana wanawake tu
Mwanamke uliumbwa kwa ajili ya mwanaume ukilijua hilo basi hata hizo harakati zetu za kujifanya haki sawa mtaziacha maramojaMichango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!
Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.
Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?
Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?
Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....
Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.
Msiwafanye wanawake objects.
Povu ruksa.
😘Thanks 😍😘
Mgonjwa yake dawaUnaumwa! Kachukue ya mange ig
Aaaah baba kukutana na Nguva ya Nini.jibu swali, kudeki sebleni hakunaga jua wala giza ?
Acheni manyanyaso ya hapa na pale!Mwanamke uliumbwa kwa ajili ya mwanaume ukilijua hilo basi hata hizo harakati zetu za kujifanya haki sawa mtaziacha maramoja
Ila mwanamke mpaka ampate mwanamume serious wa kumuoa daah! Lazima achezee de libolo za kutosha.ndo atulie sasa😅😅🙌
Michango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!
Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.
Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?
Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?
Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....
Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.
Msiwafanye wanawake objects.
Povu ruksa.
Uko na maneno🤣Namwelewa sana😃😃😃... namvuta tu nimpe moja kubwa akatafute babycare apige nyeto alale, mimtu mingine sijui ikoje🤣🤣🤣🤣🙌
Yani😂😂😂😂, kwakweli tunatakiwa kucheza kwa step na kwa umakini sana 😅😅Ila mwanamke mpaka ampate mwanamume serious wa kumuoa daah! Lazima achezee de libolo za kutosha.
Shida wana hatuweki ndani mpaka tuonje na wengine kama wanamaanisha vile kumbe ni kupita tu ile shwaaa shwaaa nduki
hamna bhana, kidogo tu😂😂🤭Uko na maneno🤣
😅😅😅 mimi kuna mmoja baada ya kumla mara 2 tu tena kwa tabu akasema kama nipo serious niende kwa wazazi wake nikajitambulishe na yeye nikamtambulishe kwa wazazi wangu. Tukajikuta tumeachana kimyakimyaYani😂😂😂😂, kwakweli tunatakiwa kucheza kwa step na kwa umakini sana 😅😅
Feminist katika ubora wakeMichango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!
Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.
Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?
Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?
Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....
Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.
Msiwafanye wanawake objects.
Povu ruksa.
Thank you. Ndo hao "huwalazimisha" wanawake kufanya uchafu wa kila aina halafu lawama kwa mwanamke tena.Magdalena Joseph
Kuna wanaume halafu kuna ile gender iko katikati ya Me na Ke. Ndio ile gender inayonunua wanawake kisha wanakuja kuwasema hadharani na ndio hiyohiyo gender inayoongoza kwa kufanya ufirauni na kuwasema mafirauni, Hiyo gender ya mchongo ndio ina hizo shida zote hizo
Ila ijulikane wezi kwamba ukilala na Malaya tayari Wewe ni Malaya kwani katika kulalana mmekua mwili mmoja