dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Azzan Jr the third ndani ya nyumbaAu sio ?
Kwahiyo wanaume wooote Umbwa ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Azzan Jr the third ndani ya nyumbaAu sio ?
Kwahiyo wanaume wooote Umbwa ?
Yere yereAzzan Jr the third ndani ya nyumba
Kumbe uko 17, kontena jipya🤣Ananifundisha dogo mnuka maziwa 😂🚮
unaenda Amana sharif shamba au ?nipo nasubiri Saa sita ifike nitimue zangu
Au kasema uwongo?Yako radhi yakomalie jike moja afu yakishakojoa ndo akili zinarud😂😂😂😂
Kuchokozwa kidogo tu mnakua kama putinKumekuchaaaa!!! Wameamka kujibu mapigo sasa[emoji23][emoji23][emoji23]bado hawajasema
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Leo naelekea Msimbazi kuna mtu kaniulizia "Upo" Sasa sijui nimemuelewa vibaya nkakagua chini nkaona upo.
Sasa wacha nimpelekee.
AsanteAchana nao washamba hao,humu Kuna. Wanaume wanajiheshi na wanaakili timamu wakwanza mme wangu,yupo humu na nilimpata humu na sijawah kuona upuuz wowote amechangia na ananiheshimu,sijutii kumfahamu.So hao wanna ropokaga ni vilaza tu na wengi hawana hela,wenye hela hawana mda wa kuandiaka ujinga.
Kaa kwa kutuliaWewe unauza sh.ngapi?
Kama ulivyosema tamaa ndio huwa inawaponza. Na mkiona mshikaji ana kibunda basi hamchelewi kumpa tamu ili usimpoteze sponsorIpo hivyo na itaendelea kua hivyo... akili kichwani kwake sasa
Changamkia fursa hiyo kijanaKumbe uko 17, kontena jipya🤣
Mi mzee wa miaka 43, jela itanihusu😂Changamkia fursa hiyo kijana
Wewe kwanini ukae karibu na wanauwe kama hutaki kuliwa kimasihara?Nimeupitia masihara mengine ni kama ubakaji! Na story nyingi anayeanzisha masihara ni mwanaune!
Chanzo ni nyie! Kwanini uniamshe hisia halafu nikikupa ukanitangazie umalaya!
Mungu akupe nini tena ndugu yangu....Mi mzee wa miaka 43, jela itanihusu😂
Ndo akome sasa,, anajilizaliza nini sasa kama alitaka mwenyewe kuliwa😃😃Kama ulivyosema tamaa ndio huwa inawaponza. Na mkiona mshikaji ana kibunda basi hamchelewi kumpa tamu ili usimpoteze sponsor
Nimeshaoa mkuuMungu akupe nini tena ndugu yangu....
Unataka tukutafutie above 18?
nini hichi ? kudeki sebleni au ?View attachment 2777584
Hanaga Jua Wala Giza.