Wanaume JF acheni kuwafanya wanawake kuwa "objects"

Wanaume JF acheni kuwafanya wanawake kuwa "objects"

Sijui kwanini mi sijawahi kujiunganisha kwenye hiyo ''Wanawake malaya,sijui wanapenda pesa, sijui wachepukaji'' yani sijawahi kuwa offended!
Na ain't a saint!
Si kila mtu anaandika analojiskia?
We wakiandika malaya usiwaze, si unajijua wewe ulivyo!
Yan nianze tu kuwaza ni tusi kwangu na huna mahali umenitaja jina?

Well, kuna namna SIPENDI TU GENERAL rule!
Hata tu katika maisha ya kawaida mi siwezi sema ''Wanaume ni mbwa sijui wanaume ni mashetani!
Na nimeona uovu mwingi tu wa wanaume.
Yet situmii kamwe hiyo kauli!

Usipende kujitafsiri vile wanavyokutafsiri watu.
 
Michango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!

Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.

Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?

Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?

Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....

Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.

Msiwafanye wanawake objects.

Povu ruksa.
Ukishindwa kutumia akili na utashi ulio jaliwa na Muumba huku ukiendekeza tamaa utatumika na utatumika haswa.
 
Michango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!

Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.

Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?

Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?

Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....

Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.

Msiwafanye wanawake objects.

Povu ruksa.
Weka dau watu tukakupitishie mkuyenge kwenye huo mdomo

100 kama inalipa utanishtua
 
Back
Top Bottom