Wanaume jiandeni jinsi ya kuishi na wake zenu wakifika umri wa miaka 40 kwa 50

Wanaume jiandeni jinsi ya kuishi na wake zenu wakifika umri wa miaka 40 kwa 50

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
Mwanamke wakifikisha umri wa miaka 40 kwa 50 hubadilika kitabia na hulka zao kwa sababu ndo umri wao wa 'last card' au wa mwishwo kwenye ndoa kabla ya kua Bibi na kuanza kulea wajukuu.

Wengi hubadilika kua na kiburi, washika dini sanaa (walokole) kujkmba nyimbo za dini kila wakati, kuhoji kila jambo na kua na msimamo wake katika kila jambo, usishangae kuona mkeo aliekua mtiifu mnyenyekevu kwako kubadilika ghafra anapo timiza miaka 40 kwa 50. hasa akiwa amesha zaa watoto kwako wa kutosha,

Kwa umri huo usishangae ana anza kukuuliza masuali kama haya:

1. Kwani sex ni chakula kwanini kila siku?
2.. kila kitu unataka ufanyiwe wewe huna mikono?
3.Tangu unioe ulininulia nini cha maana zaidi ya chakula tu?
4. Anaanza kuhoji baadhi ya tabia zako na marafiki zako.

Kwa umri huo wa 40 kwa 50 atakua msemaji mkuu wa familia na haogopi kuongea chochote anacho fikilia akilini mwake, ukimuelekeza jambo anachukua mda kulitekeleza au anaghairi usipo angalia sana utajikuta siku zingine utajifulia nguo unazo taka kuvaa weekends au kujipikia your favourite meals.

Njia peke za kunusuru ndoa yako, mkeo ukifikisha huo umri sio kuoa mke mgine hapana ni kujiongenzea tu matatizo wanawake ni walewale, ni kufanya yafuatayo:

1. Kila unacho muagiza mfafanulie faida iliomo punguza kasi kwake ya kumtuma tuma,
2. Jua umri huo kwa mwanamke ni kmri wa majuto huenda majuto hayo ni pamoja na maamuzi yake ya kuoelewa na wewe.
3. Hu ni mda wake wakulipiza kisasi kwako kama hukua mzuri kwake in the past years jiendae mara mbili kupokea mapigo kutoka kwake anaweza kufanya lolote kwa lengo lakulipiza kisasi hata kwa kutoka na kuzaa na mjungaji wakanisa lake, anaweza akabadili kua mama wakanisa manaake kukesha over night prayer ikawa kawaida kila wiki.
View attachment 3176641
 
Mwanamke wakifikisha umri wa miaka 40 kwa 50 hubadilika kitabia na hulka zao kwa sababu ndo umri wao wa 'last card' au wa mwishwo kwenye ndoa kabla ya kua Bibi na kuanza kulea wajukuu.

Wengi hubadilika kua na kiburi, washika dini sanaa (walokole) kujkmba nyimbo za dini kila wakati, kuhoji kila jambo na kua na msimamo wake katika kila jambo, usishangae kuona mkeo aliekua mtiifu mnyenyekevu kwako kubadilika ghafra anapo timiza miaka 40 kwa 50. hasa akiwa amesha zaa watoto kwako wa kutosha,

Kwa umri huo usishangae ana anza kukuuliza masuali kama haya:

1. Kwani sex ni chakula kwanini kila siku?
2.. kila kitu unataka ufanyiwe wewe huna mikono?
3.Tangu unioe ulininulia nini cha maana zaidi ya chakula tu?
4. Anaanza kuhoji baadhi ya tabia zako na marafiki zako.

Kwa umri huo wa 40 kwa 50 atakua msemaji mkuu wa familia na haogopi kuongea chochote anacho fikilia akilini mwake, ukimuelekeza jambo anachukua mda kulitekeleza au anaghairi usipo angalia sana utajikuta siku zingine utajifulia nguo unazo taka kuvaa weekends au kujipikia your favourite meals.

Njia peke za kunusuru ndoa yako, mkeo ukifikisha huo umri sio kuoa mke mgine hapana ni kujiongenzea tu matatizo wanawake ni walewale, ni kufanya yafuatayo:

1. Kila unacho muagiza mfafanulie faida iliomo punguza kasi kwake ya kumtuma tuma,
2. Jua umri huo kwa mwanamke ni kmri wa majuto huenda majuto hayo ni pamoja na maamuzi yake ya kuoelewa na wewe.
3. Hu ni mda wake wakulipiza kisasi kwako kama hukua mzuri kwake in the past years jiendae mara mbili kupokea mapigo kutoka kwake anaweza kufanya lolote kwa lengo lakulipiza kisasi hata kwa kutoka na kuzaa na mjungaji wakanisa lake, anaweza akabadili kua mama wakanisa manaake kukesha over night prayer ikawa kawaida kila wiki.
Ngoja nifanye mpango wa kufungua kabiashara karibu na lango la chuo hapa niuze vitu vinavyopendwa na mabinti ili kila mwaka niwe na uhakika wa kunyoosha goti daily.
 
Mwanamke wakifikisha umri wa miaka 40 kwa 50 hubadilika kitabia na hulka zao kwa sababu ndo umri wao wa 'last card' au wa mwishwo kwenye ndoa kabla ya kua Bibi na kuanza kulea wajukuu.

Wengi hubadilika kua na kiburi, washika dini sanaa (walokole) kujkmba nyimbo za dini kila wakati, kuhoji kila jambo na kua na msimamo wake katika kila jambo, usishangae kuona mkeo aliekua mtiifu mnyenyekevu kwako kubadilika ghafra anapo timiza miaka 40 kwa 50. hasa akiwa amesha zaa watoto kwako wa kutosha,

Kwa umri huo usishangae ana anza kukuuliza masuali kama haya:

1. Kwani sex ni chakula kwanini kila siku?
2.. kila kitu unataka ufanyiwe wewe huna mikono?
3.Tangu unioe ulininulia nini cha maana zaidi ya chakula tu?
4. Anaanza kuhoji baadhi ya tabia zako na marafiki zako.

Kwa umri huo wa 40 kwa 50 atakua msemaji mkuu wa familia na haogopi kuongea chochote anacho fikilia akilini mwake, ukimuelekeza jambo anachukua mda kulitekeleza au anaghairi usipo angalia sana utajikuta siku zingine utajifulia nguo unazo taka kuvaa weekends au kujipikia your favourite meals.

Njia peke za kunusuru ndoa yako, mkeo ukifikisha huo umri sio kuoa mke mgine hapana ni kujiongenzea tu matatizo wanawake ni walewale, ni kufanya yafuatayo:

1. Kila unacho muagiza mfafanulie faida iliomo punguza kasi kwake ya kumtuma tuma,
2. Jua umri huo kwa mwanamke ni kmri wa majuto huenda majuto hayo ni pamoja na maamuzi yake ya kuoelewa na wewe.
3. Hu ni mda wake wakulipiza kisasi kwako kama hukua mzuri kwake in the past years jiendae mara mbili kupokea mapigo kutoka kwake anaweza kufanya lolote kwa lengo lakulipiza kisasi hata kwa kutoka na kuzaa na mjungaji wakanisa lake, anaweza akabadili kua mama wakanisa manaake kukesha over night prayer ikawa kawaida kila wiki.
Kuna ukweli
 
Kuna mtu alileta uzi kama huu ama nilisoma mahali wanawake wanapofika umri huo uwezo wa wa kufikiri unaongeza au kupanuka pamoja na ujasiri kuongeza..

Kwa kwa ni kama ya mwanaume kuishi na mwanamke kwa akili inabidi utambue wakayi unapofika kuepusha mshangao ..
 
Mimi wa kwangu kaanza saa hii yuko 36 yrs na mimi niko 35 yrs[emoji23][emoji23][emoji23] after 15 yrs in holly marriage
Mkuu wewe ilioa mzee huyu sio mke kwako anakaribia kua mama yako, mke unabidi umzidi kuanzia miaka 5 mpaka 20 sio moja tu, huyu anazeeka kesho na kuuanza kua kituko kwako.
 
Back
Top Bottom