Wanaume jiandeni jinsi ya kuishi na wake zenu wakifika umri wa miaka 40 kwa 50

Wanaume jiandeni jinsi ya kuishi na wake zenu wakifika umri wa miaka 40 kwa 50

Kwasasa hata mwenye umri wa 35,baadhi yao wanatabia hizo,na pamoja na hayo uloeleza mkuu maisha yetu ya sasa yanamchanganyiko wa mambo mengi,tofauti na enzi za wazee wetu,siku hizi mkeo kuwa na tabia kwasababu tu ujampa hela ya vikoba,ujamnunulia nguo ya sikukuu,ujamnunulia chips,yaani tafrani tupu aseh!!!,pengine umwemwangalia kwa bahati mbaya tu binti fulani,ye anahisi unampenda huyo binti,yaani balaa,kifupi wasasa hivi wanajali sana vitu kuliko utu.
Hiki kizazi ni hatari wanawake hubadilika mapema sanaa sio ajabu kukuta wa miaka ya 2000 kua na tabia kama wa miaka 50 kwa 40 duh.
 
Visasi vingi vya wanawake mara nyingi hua tunavisababisha wenyewe.

Unapompiga matukio ya wazi mwanamke wako akavumilia usijione mshindi, wakati ukifika utalipia kwa maumivu makubwa.

Ishi na mwanamke kwa wema, kama una mambo yako yafanye kimya kimya.
 
Visasi vingi vya wanawake mara nyingi hua tunavisababisha wenyewe.

Unapompiga matukio ya wazi mwanamke wako akavumilia usijione mshindi, wakati ukifika utalipia kwa maumivu makubwa.

Ishi na mwanamke kwa wema, kama una mambo yako yafanye kimya kimya.
Wewe unamke? Huwezi kufurahisha mwanamke siku zote lazima atatafuta kisa tu akulipize.
 
Hiyo inaitwa "Post Menopausal Syndrome" huwapata asilimia kubwa ya kina mama. Hongera kwa kuidadavua kwa lugha nyepesi.
 
Mwanamke wakifikisha umri wa miaka 40 kwa 50 hubadilika kitabia na hulka zao kwa sababu ndo umri wao wa 'last card' au wa mwishwo kwenye ndoa kabla ya kua Bibi na kuanza kulea wajukuu.

Wengi hubadilika kua na kiburi, washika dini sanaa (walokole) kujkmba nyimbo za dini kila wakati, kuhoji kila jambo na kua na msimamo wake katika kila jambo, usishangae kuona mkeo aliekua mtiifu mnyenyekevu kwako kubadilika ghafra anapo timiza miaka 40 kwa 50. hasa akiwa amesha zaa watoto kwako wa kutosha,

Kwa umri huo usishangae ana anza kukuuliza masuali kama haya:

1. Kwani sex ni chakula kwanini kila siku?
2.. kila kitu unataka ufanyiwe wewe huna mikono?
3.Tangu unioe ulininulia nini cha maana zaidi ya chakula tu?
4. Anaanza kuhoji baadhi ya tabia zako na marafiki zako.

Kwa umri huo wa 40 kwa 50 atakua msemaji mkuu wa familia na haogopi kuongea chochote anacho fikilia akilini mwake, ukimuelekeza jambo anachukua mda kulitekeleza au anaghairi usipo angalia sana utajikuta siku zingine utajifulia nguo unazo taka kuvaa weekends au kujipikia your favourite meals.

Njia peke za kunusuru ndoa yako, mkeo ukifikisha huo umri sio kuoa mke mgine hapana ni kujiongenzea tu matatizo wanawake ni walewale, ni kufanya yafuatayo:

1. Kila unacho muagiza mfafanulie faida iliomo punguza kasi kwake ya kumtuma tuma,
2. Jua umri huo kwa mwanamke ni kmri wa majuto huenda majuto hayo ni pamoja na maamuzi yake ya kuoelewa na wewe.
3. Hu ni mda wake wakulipiza kisasi kwako kama hukua mzuri kwake in the past years jiendae mara mbili kupokea mapigo kutoka kwake anaweza kufanya lolote kwa lengo lakulipiza kisasi hata kwa kutoka na kuzaa na mjungaji wakanisa lake, anaweza akabadili kua mama wakanisa manaake kukesha over night prayer ikawa kawaida kila wiki.
Mbona hizo mambo mi nakutana nazo,,, nina miaka 37, na wife 36,,, ki ukweli ndoa kwangu ni chungu sasa hivi
 
Mwanamke wakifikisha umri wa miaka 40 kwa 50 hubadilika kitabia na hulka zao kwa sababu ndo umri wao wa 'last card' au wa mwishwo kwenye ndoa kabla ya kua Bibi na kuanza kulea wajukuu.

Wengi hubadilika kua na kiburi, washika dini sanaa (walokole) kujkmba nyimbo za dini kila wakati, kuhoji kila jambo na kua na msimamo wake katika kila jambo, usishangae kuona mkeo aliekua mtiifu mnyenyekevu kwako kubadilika ghafra anapo timiza miaka 40 kwa 50. hasa akiwa amesha zaa watoto kwako wa kutosha,

Kwa umri huo usishangae ana anza kukuuliza masuali kama haya:

1. Kwani sex ni chakula kwanini kila siku?
2.. kila kitu unataka ufanyiwe wewe huna mikono?
3.Tangu unioe ulininulia nini cha maana zaidi ya chakula tu?
4. Anaanza kuhoji baadhi ya tabia zako na marafiki zako.

Kwa umri huo wa 40 kwa 50 atakua msemaji mkuu wa familia na haogopi kuongea chochote anacho fikilia akilini mwake, ukimuelekeza jambo anachukua mda kulitekeleza au anaghairi usipo angalia sana utajikuta siku zingine utajifulia nguo unazo taka kuvaa weekends au kujipikia your favourite meals.

Njia peke za kunusuru ndoa yako, mkeo ukifikisha huo umri sio kuoa mke mgine hapana ni kujiongenzea tu matatizo wanawake ni walewale, ni kufanya yafuatayo:

1. Kila unacho muagiza mfafanulie faida iliomo punguza kasi kwake ya kumtuma tuma,
2. Jua umri huo kwa mwanamke ni kmri wa majuto huenda majuto hayo ni pamoja na maamuzi yake ya kuoelewa na wewe.
3. Hu ni mda wake wakulipiza kisasi kwako kama hukua mzuri kwake in the past years jiendae mara mbili kupokea mapigo kutoka kwake anaweza kufanya lolote kwa lengo lakulipiza kisasi hata kwa kutoka na kuzaa na mjungaji wakanisa lake, anaweza akabadili kua mama wakanisa manaake kukesha over night prayer ikawa kawaida kila wiki.
😂😂😂😂😂😂
 
Hakuna mwanamke mkaidi mbele ya nwanaume mwenye ukwasi, hakuna!
 
Hakuna mwanamke mkaidi mbele ya nwanaume mwenye ukwasi, hakuna!
Labda awe ametoka familia masini hajazea pesa inge kua hivo ndoa za matajiri kama billgates ,zingevunjika, ila ndozinaongoza kuvunjika hata kuliko zetu masikini.
 
Mbona hizo mambo mi nakutana nazo,,, nina miaka 37, na wife 36,,, ki ukweli ndoa kwangu ni chungu sasa hivi
Mkuu ulioa mzee tafuta mwana mke unao mzidi umri angalau 5 hadi 20, ndo utaona ndoa halisi inakua je.
 
Labda awe ametoka familia masini hajazea pesa inge kua hivo ndoa za matajiri kama billgates ,zingevunjika, ila ndozinaongoza kuvunjika hata kuliko zetu masikini.
Wake za kina Bill Gates walipiga hesabu zao wakaona ni bora wachukue mgao wao mapema. Mwanamke akiona mume ana pesa anakimbilia divorce ili nae awe huru kiuchumi.
 
Mwanamke wakifikisha umri wa miaka 40 kwa 50 hubadilika kitabia na hulka zao kwa sababu ndo umri wao wa 'last card' au wa mwishwo kwenye ndoa kabla ya kua Bibi na kuanza kulea wajukuu.

Wengi hubadilika kua na kiburi, washika dini sanaa (walokole) kujkmba nyimbo za dini kila wakati, kuhoji kila jambo na kua na msimamo wake katika kila jambo, usishangae kuona mkeo aliekua mtiifu mnyenyekevu kwako kubadilika ghafra anapo timiza miaka 40 kwa 50. hasa akiwa amesha zaa watoto kwako wa kutosha,

Kwa umri huo usishangae ana anza kukuuliza masuali kama haya:

1. Kwani sex ni chakula kwanini kila siku?
2.. kila kitu unataka ufanyiwe wewe huna mikono?
3.Tangu unioe ulininulia nini cha maana zaidi ya chakula tu?
4. Anaanza kuhoji baadhi ya tabia zako na marafiki zako.

Kwa umri huo wa 40 kwa 50 atakua msemaji mkuu wa familia na haogopi kuongea chochote anacho fikilia akilini mwake, ukimuelekeza jambo anachukua mda kulitekeleza au anaghairi usipo angalia sana utajikuta siku zingine utajifulia nguo unazo taka kuvaa weekends au kujipikia your favourite meals.

Njia peke za kunusuru ndoa yako, mkeo ukifikisha huo umri sio kuoa mke mgine hapana ni kujiongenzea tu matatizo wanawake ni walewale, ni kufanya yafuatayo:

1. Kila unacho muagiza mfafanulie faida iliomo punguza kasi kwake ya kumtuma tuma,
2. Jua umri huo kwa mwanamke ni kmri wa majuto huenda majuto hayo ni pamoja na maamuzi yake ya kuoelewa na wewe.
3. Hu ni mda wake wakulipiza kisasi kwako kama hukua mzuri kwake in the past years jiendae mara mbili kupokea mapigo kutoka kwake anaweza kufanya lolote kwa lengo lakulipiza kisasi hata kwa kutoka na kuzaa na mjungaji wakanisa lake, anaweza akabadili kua mama wakanisa manaake kukesha over night prayer ikawa kawaida kila wiki.
Kwani lazima anifulie nguo ? Machine zinafanya kazi gani? Kwanza hata Mimi mda huo simhitaji mwanamke Kwa sababu nitakuwa busy na mambo yangu.
 
Mwanamke wakifikisha umri wa miaka 40 kwa 50 hubadilika kitabia na hulka zao kwa sababu ndo umri wao wa 'last card' au wa mwishwo kwenye ndoa kabla ya kua Bibi na kuanza kulea wajukuu.

Wengi hubadilika kua na kiburi, washika dini sanaa (walokole) kujkmba nyimbo za dini kila wakati, kuhoji kila jambo na kua na msimamo wake katika kila jambo, usishangae kuona mkeo aliekua mtiifu mnyenyekevu kwako kubadilika ghafra anapo timiza miaka 40 kwa 50. hasa akiwa amesha zaa watoto kwako wa kutosha,

Kwa umri huo usishangae ana anza kukuuliza masuali kama haya:

1. Kwani sex ni chakula kwanini kila siku?
2.. kila kitu unataka ufanyiwe wewe huna mikono?
3.Tangu unioe ulininulia nini cha maana zaidi ya chakula tu?
4. Anaanza kuhoji baadhi ya tabia zako na marafiki zako.

Kwa umri huo wa 40 kwa 50 atakua msemaji mkuu wa familia na haogopi kuongea chochote anacho fikilia akilini mwake, ukimuelekeza jambo anachukua mda kulitekeleza au anaghairi usipo angalia sana utajikuta siku zingine utajifulia nguo unazo taka kuvaa weekends au kujipikia your favourite meals.

Njia peke za kunusuru ndoa yako, mkeo ukifikisha huo umri sio kuoa mke mgine hapana ni kujiongenzea tu matatizo wanawake ni walewale, ni kufanya yafuatayo:

1. Kila unacho muagiza mfafanulie faida iliomo punguza kasi kwake ya kumtuma tuma,
2. Jua umri huo kwa mwanamke ni kmri wa majuto huenda majuto hayo ni pamoja na maamuzi yake ya kuoelewa na wewe.
3. Hu ni mda wake wakulipiza kisasi kwako kama hukua mzuri kwake in the past years jiendae mara mbili kupokea mapigo kutoka kwake anaweza kufanya lolote kwa lengo lakulipiza kisasi hata kwa kutoka na kuzaa na mjungaji wakanisa lake, anaweza akabadili kua mama wakanisa manaake kukesha over night prayer ikawa kawaida kila wiki.
Prof.Janabi Aliwahi eleza hayo Mabadiliko husababishwa na ma adiliko ya hormones ambapo hata hedhi hupungua so kuzua hizo shida zinazomfanya kuwa jike dume.

Na alisema ndio kipindi kigumu zaidi Cha ndoa so badala ya kutafuta Ligi na kushindana mpe huo uhuru sijui maamuzi ila uwe na shughuli nyingine ya kufanya uwe busy badala ya kuwaza au kumtegemea mwanamke
 
Back
Top Bottom