Ni kweli kabisa ukiwa na pesa mwanamke atakuheshimu daima, mwanaume pambana uwe na uwekezaji endelevu Ili uheshimike mpaka uzeeniSolution ya matatizo ya mwanaume ni kuwa na pesa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa ukiwa na pesa mwanamke atakuheshimu daima, mwanaume pambana uwe na uwekezaji endelevu Ili uheshimike mpaka uzeeniSolution ya matatizo ya mwanaume ni kuwa na pesa!
Ukifanye hivo akiwa wakutoka kule kwetu machame atakuua mapema, ili abakize mali hawezi kubali bint mdogo kuchukua mali.Ymeongea point sana ila kuna sehemu umezingua,akifika umri huo unatakiwa kuoa binti mdogo ili amchanganshe
Billgates alikuwa na pesa na bado Melinda alimwacha.Solution ya matatizo ya mwanaume ni kuwa na pesa!
Jeff Bezos ana pesa lakini mwanamke wake haku muheshimu. WakatenganaNi kweli kabisa ukiwa na pesa mwanamke atakuheshimu daima, mwanaume pambana uwe na uwekezaji endelevu Ili uheshimike mpaka uzeeni
umeelewa hoja? Hao wameachwa ila sio wana matatizo.. kila anachotaka anapata, akiumwa anauguzwa, ukiwa kapuku ukiachwa na kuugua subiri kufa!Billgates alikuwa na pesa na bado Melinda alimwacha.
Jeff Bezos alikuwa na pesa lakini bado walitengana na mkeo na mali alimpa.
Na hata akikuacha pesa zako zitakulea!Ni kweli kabisa ukiwa na pesa mwanamke atakuheshimu daima, mwanaume pambana uwe na uwekezaji endelevu Ili uheshimike mpaka uzeeni
Basi mimi imekuwa tofauti.Mwanamke wakifikisha umri wa miaka 40 kwa 50 hubadilika kitabia na hulka zao kwa sababu ndo umri wao wa 'last card' au wa mwishwo kwenye ndoa kabla ya kua Bibi na kuanza kulea wajukuu.
Wengi hubadilika kua na kiburi, washika dini sanaa (walokole) kujkmba nyimbo za dini kila wakati, kuhoji kila jambo na kua na msimamo wake katika kila jambo, usishangae kuona mkeo aliekua mtiifu mnyenyekevu kwako kubadilika ghafra anapo timiza miaka 40 kwa 50. hasa akiwa amesha zaa watoto kwako wa kutosha,
Kwa umri huo usishangae ana anza kukuuliza masuali kama haya:
1. Kwani sex ni chakula kwanini kila siku?
2.. kila kitu unataka ufanyiwe wewe huna mikono?
3.Tangu unioe ulininulia nini cha maana zaidi ya chakula tu?
4. Anaanza kuhoji baadhi ya tabia zako na marafiki zako.
Kwa umri huo wa 40 kwa 50 atakua msemaji mkuu wa familia na haogopi kuongea chochote anacho fikilia akilini mwake, ukimuelekeza jambo anachukua mda kulitekeleza au anaghairi usipo angalia sana utajikuta siku zingine utajifulia nguo unazo taka kuvaa weekends au kujipikia your favourite meals.
Njia peke za kunusuru ndoa yako, mkeo ukifikisha huo umri sio kuoa mke mgine hapana ni kujiongenzea tu matatizo wanawake ni walewale, ni kufanya yafuatayo:
1. Kila unacho muagiza mfafanulie faida iliomo punguza kasi kwake ya kumtuma tuma,
2. Jua umri huo kwa mwanamke ni kmri wa majuto huenda majuto hayo ni pamoja na maamuzi yake ya kuoelewa na wewe.
3. Hu ni mda wake wakulipiza kisasi kwako kama hukua mzuri kwake in the past years jiendae mara mbili kupokea mapigo kutoka kwake anaweza kufanya lolote kwa lengo lakulipiza kisasi hata kwa kutoka na kuzaa na mjungaji wakanisa lake, anaweza akabadili kua mama wakanisa manaake kukesha over night prayer ikawa kawaida kila wiki.
Wako sawa sawa kitabia na mawazo ......akili zao ziko same pattern haki tenaa..wana makusudi sana wanacheza sana akili zetu mnoooo.....anakuuliza kitu jibu analo anataka assurance etcKuoa mke mgine ni kujitafutia matatizo mengine, kua nao wana changamoyo zao ngumu, tena kimbuka wanawake ni wale wale siku zote.
Kila mwanamke anataka akimiliki completely akitawale hata yule asio kua na elimu au pesa au mdogo zaidi kwako, la kufanya nikujua lengo lako unalo taka kwa mwanamke.Wako sawa sawa kitabia na mawazo ......akili zao ziko same pattern haki tenaa..wana makusudi sana wanacheza sana akili zetu mnoooo.....anakuuliza kitu jibu analo anataka assurance etc
Eheheheh kituko aje?? Au ndio hiv kaanza maana anataka tuachane na hata cha maana hakuna kama sababu, ikabid nimtie makofi hapo sasa ndio nimechochea moto 😂Mkuu wewe ilioa mzee huyu sio mke kwako anakaribia kua mama yako, mke unabidi umzidi kuanzia miaka 5 mpaka 20 sio moja tu, huyu anazeeka kesho na kuuanza kua kituko kwako.
Huyu kama huna hasara kubwa ya kiuchumi ungeachana nae utafute mke mwenye umri mdogo 25 kwa 30, ambae ata kutii na kua msikivu , hilo ni bomb mda wote linapasuka.Eheheheh kituko aje?? Au ndio hiv kaanza maana anataka tuachane na hata cha maana hakuna kama sababu, ikabid nimtie makofi hapo sasa ndio nimechochea moto [emoji23]
Kwa nini waliachwa?umeelewa hoja? Hao wameachwa ila sio wana matatizo.. kila anachotaka anapata, akiumwa anauguzwa, ukiwa kapuku ukiachwa na kuugua subiri kufa!
Sababu za kuachana ni nyingi, wanawake wanahitaji hela, lakini it is not all they need!Kwa nini waliachwa?
Ilhali hela ipo?
Vipi wanawake wa matajiri wanao achana na waume zao na kwenda kuolewa na vi benten?Sababu za kuachana ni nyingi, wanawake wanahitaji hela, lakini it is not all they need!
Jibu ni hili hili: Sababu za kuachana ni nyingi, wanawake wanahitaji hela, lakini it is not all they need!Vipi wanawake wa matajiri wanao achana na waume zao na kwenda kuolewa na vi benten?
Kila kitu ambacho akisema mama anasikilizwa baba anapuuzwaKuna kaukweli umri ukishaenda mshastaafu wanawake ndio wanageuka wakuu kwenye Nyumba.
Watoto wanakuwa upande wake
Kwasasa hata mwenye umri wa 35,baadhi yao wanatabia hizo,na pamoja na hayo uloeleza mkuu maisha yetu ya sasa yanamchanganyiko wa mambo mengi,tofauti na enzi za wazee wetu,siku hizi mkeo kuwa na tabia kwasababu tu ujampa hela ya vikoba,ujamnunulia nguo ya sikukuu,ujamnunulia chips,yaani tafrani tupu aseh!!!,pengine umwemwangalia kwa bahati mbaya tu binti fulani,ye anahisi unampenda huyo binti,yaani balaa,kifupi wasasa hivi wanajali sana vitu kuliko utu.Mwanamke wakifikisha umri wa miaka 40 kwa 50 hubadilika kitabia na hulka zao kwa sababu ndo umri wao wa 'last card' au wa mwishwo kwenye ndoa kabla ya kua Bibi na kuanza kulea wajukuu.
Wengi hubadilika kua na kiburi, washika dini sanaa (walokole) kujkmba nyimbo za dini kila wakati, kuhoji kila jambo na kua na msimamo wake katika kila jambo, usishangae kuona mkeo aliekua mtiifu mnyenyekevu kwako kubadilika ghafra anapo timiza miaka 40 kwa 50. hasa akiwa amesha zaa watoto kwako wa kutosha,
Kwa umri huo usishangae ana anza kukuuliza masuali kama haya:
1. Kwani sex ni chakula kwanini kila siku?
2.. kila kitu unataka ufanyiwe wewe huna mikono?
3.Tangu unioe ulininulia nini cha maana zaidi ya chakula tu?
4. Anaanza kuhoji baadhi ya tabia zako na marafiki zako.
Kwa umri huo wa 40 kwa 50 atakua msemaji mkuu wa familia na haogopi kuongea chochote anacho fikilia akilini mwake, ukimuelekeza jambo anachukua mda kulitekeleza au anaghairi usipo angalia sana utajikuta siku zingine utajifulia nguo unazo taka kuvaa weekends au kujipikia your favourite meals.
Njia peke za kunusuru ndoa yako, mkeo ukifikisha huo umri sio kuoa mke mgine hapana ni kujiongenzea tu matatizo wanawake ni walewale, ni kufanya yafuatayo:
1. Kila unacho muagiza mfafanulie faida iliomo punguza kasi kwake ya kumtuma tuma,
2. Jua umri huo kwa mwanamke ni kmri wa majuto huenda majuto hayo ni pamoja na maamuzi yake ya kuoelewa na wewe.
3. Hu ni mda wake wakulipiza kisasi kwako kama hukua mzuri kwake in the past years jiendae mara mbili kupokea mapigo kutoka kwake anaweza kufanya lolote kwa lengo lakulipiza kisasi hata kwa kutoka na kuzaa na mjungaji wakanisa lake, anaweza akabadili kua mama wakanisa manaake kukesha over night prayer ikawa kawaida kila wiki.