Ymeongea point sana ila kuna sehemu umezingua,akifika umri huo unatakiwa kuoa binti mdogo ili amchanganshe
Mwamba hatufugi ng'ombe mzee asiezaa wala kulima elewa hiyo kanuni ya wafugaji,, mwanamke kama hawezi kwenda direction yako sharti aondoke hapo nyumbani kwako..
Msitafute sana justice kwenye upuuzi,, Akigoma kuondoka muonyeshe utaratibu unaotakiwa akigoma pia hama wewe na hati zote za nyumba nenda mbali na hapo anzisha maisha yako.
Kisha rudi uje uuze huo mji mgawane mali kila mtu aende akafie anakojua
Uliachana na wazazi wako waliokuzaa ukaenda kutafuta maisha na si ajabu unakaa mpaka miaka mitano bila kwenda kwenu
Halafu unashindwa kuacgana na mwanamke mzee na kwenda kuishi na binti mdogo wewe una akili kweli??
Eti kuoa binti mwingine ni kujitafutia matatizo kwamba wanawake ni wale wale??
Kuna mabinti wametoka familia zina laana na malezi mabovu mama na watoto wanaungana kumshushia kichapo mdingi utasema
Wanawake wote ni sawa??
Mnajaribu kukaa na matatizo kwa kuamini kuwa huko duniani pia kumejaa matatizo si ndio acheni ujinga muishi kwa furaha nyie..
Mimi niliamini kuwa maisha ya kuoa ni magumu kupitia kwa mke wa kwanza niliemuoa na kuishi nae kwa miaka kumi
Yule mwanamke alikuwa ni mtu hawezi kukupa amani ya maisha kabisa,, kwanini?
Kwasababu tayari alikuwa na sumu akilini na moyoni juu ya wanaume akiamini kuwa enzi zake za kufanya umalaya alikuwa innocent lakini waliomlala ndio walikuwa mashetani..
Akawa ananihukumu na kunijumuisha na watangulizi wangu,,
Kiukweli niwe mkweli kwakuwa nilikuwa nishapiga hatua ndefu na huyu binti kiasi cha kupata watoto wawili pamoja hivyo ilikuwa inaniogopesha sana pale nifikiriapo kwamba itakuja siku nitalala kitandani bila uwepo wake..
Halafu wakati huo ukute yeye huko amelala na kukumbatiwa na mwanaume mwingine yaani hii kitu ilikuwa inanifanya najitafutia vimisemo fulani vya kisenge kama hivyo kuwa wanawake ni wale wale unaanza nao vizuri but later they change,,
Hata nilipojaribu kuanzisha mahusiano mengine haikunisaidia kwasababu bado huyu alikuwa kwenye himaya yangu so ile aura yake iliendelea kunipiga roba kali mpaka nikawa naona kabisa huku nje hakuna kitu nafanya wala kupata japo wa nje wanajitupa na kunifanya niyasahau yale ya nyumbani but Demons had to engulf me tightly.
Baadae naona alinisaidia sana japo anadhani kuwa alinikatili maana aliamua kusepa kwangu,, Kuanzia ile siku mpaka miezi saba I swear I've never faced demons like I did at that moment..
Guess what? She made me a monster that any woman will never beat..
Wanaosema kauli za kujifariji ni wajinga but at some points wako sawa maana it aint easy facing demons from your own spirit.. Not even me that was ready to go a journey with eyes open facing those demons..
Stay focused anything is possible,,
By Sonko Bibo, to the young and elder generation at the mouth of simp bowl...