Wanaume jibuni hili swali

Wanaume jibuni hili swali

ntuchake

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2024
Posts
408
Reaction score
1,549
Hivi inakuaje unakaa na mwanamke kwenye uhusiano kwa muda mrefu inaeza kuwa miaka hata mitatu au zaidi lakini unamuacha alafu unaenda kuoa mwanamke ambae umejuana nae ndani ya miezi kadhaa tu, tena wengine hata miezi mitatu inakuwa haijafika na unafunga nae ndoa. Kwanini mnafanyaga hivi?
 
Mtu anaweza kuwa na mtazamo tofauti juu ya maisha baada ya uhusiano wa muda mrefu. Anaweza kutambua kuwa anataka kitu tofauti, na akipata mtu anayelingana na mawazo yake mapya, anaamua kuoa fasta tu.

au labda Baada ya kuwa kwenye uhusiano muda mrefu usiofanikiwa, mtu anaweza kuwa na ufahamu zaidi wa kile anachotaka kwa mchumba wa ndoa.(hii wachache wataelewa) Akikutana na mtu mpya ambaye anafiti vigezo hivyo, haoni haja ya kupoteza muda mwingi tena.
 
Hivi inakuaje unakaa na mwanamke kwenye uhusiano kwa muda mrefu inaeza kuwa miaka hata mitatu au zaidi lakini unamuacha alafu unaenda kuoa mwanamke ambae umejuana nae ndani ya miezi kadhaa tu, tena wengine hata miezi mitatu inakuwa haijafika na unafunga nae ndoa. Kwanini mnafanyaga hivi?
Hakuna mfumo maalumu ni vile tu kile ulichokikosa kwa miaka mitatu umekipata ndani ya miezi mitatu.
 
Hivi inakuaje unakaa na mwanamke kwenye uhusiano kwa muda mrefu inaeza kuwa miaka hata mitatu au zaidi lakini unamuacha alafu unaenda kuoa mwanamke ambae umejuana nae ndani ya miezi kadhaa tu, tena wengine hata miezi mitatu inakuwa haijafika na unafunga nae ndoa. Kwanini mnafanyaga hivi?
Siyo wanaume tuu, hata huyo unayemuoa baadq ya kujuana muda mfupi ana jamaa yake wamekaa miaka mitano bila kuoana.
Hili swali jibuni wanawake pia.
 
Hu
Hivi inakuaje unakaa na mwanamke kwenye uhusiano kwa muda mrefu inaeza kuwa miaka hata mitatu au zaidi lakini unamuacha alafu unaenda kuoa mwanamke ambae umejuana nae ndani ya miezi kadhaa tu, tena wengine hata miezi mitatu inakuwa haijafika na unafunga nae ndoa. Kwanini mnafanyaga hivi?
Huna vigezo kwa huyo mwanaume amepata mwenye vigezo
 
Ila mambo haya yanaogopesha sana
Hakuna kinachoogopesha ni vile wengi huwa tunakosea kwa kukurupuka kuanzisha mahusiano bila malengo ya ndoa kisha tunakuja kutafuta malengo hayo tukiwa ndani ya mahusiano.

Kosa huanzia pale mtu anaposhindwa kujipa muda wa kujijua yeye ni mtu wa aina gani na anahitaji mwenza wa aina gani badala yake anaamua kuingia kwenye mahusiano kwa maslahi(kingono na kiuchumi).
 
Wewe ulikua unanipa papuchino kwa masharti,mwenziio anaweka mguu mpaka dirishani na alfajiri ananikumbusha nipige AMSHA POPO kwa Nini nisoe fasta? Licha ya hivyo anajua kupika mahalat,mahanjumat,masotojo ,marosti tanduri,wakati wewe ukipika dagaa chuzi bwawa Kama la ngomani Nani akuie😳😳
 
Hivi inakuaje unakaa na mwanamke kwenye uhusiano kwa muda mrefu inaeza kuwa miaka hata mitatu au zaidi lakini unamuacha alafu unaenda kuoa mwanamke ambae umejuana nae ndani ya miezi kadhaa tu, tena wengine hata miezi mitatu inakuwa haijafika na unafunga nae ndoa. Kwanini mnafanyaga hivi?
Kadri unavyozidi kukaa na mwanamke unagundua mapungufu yake mengi na huwezi kumuoa!

Namna pekee ya mwanamke kuolewa ni kutuuzia mbuzi kwenye Gunia!

Unakuta Dem ana rap zaidi ya R Kelly utaoa!!?anakujazia nzi kibao hapo home Hadi aibu wakati ni ishu ndogo TU ,anamwaga Siri zote hadharani kisa ana hasira kali!huwezi oa kituko kama hicho!
 
Back
Top Bottom