Wanaume jibuni hili swali

Wanaume jibuni hili swali

Hivi inakuaje unakaa na mwanamke kwenye uhusiano kwa muda mrefu inaeza kuwa miaka hata mitatu au zaidi lakini unamuacha alafu unaenda kuoa mwanamke ambae umejuana nae ndani ya miezi kadhaa tu, tena wengine hata miezi mitatu inakuwa haijafika na unafunga nae ndoa. Kwanini mnafanyaga hivi?
Nili kaa na gf kwa miaka 12 mahusiano yakaishia njiani, aliefuata ni mekaa nae Miezi 5 tu, wala sita tukafunga ndoa. Nini kikitokea mie sijui
 
Hivi inakuaje unakaa na mwanamke kwenye uhusiano kwa muda mrefu inaeza kuwa miaka hata mitatu au zaidi lakini unamuacha alafu unaenda kuoa mwanamke ambae umejuana nae ndani ya miezi kadhaa tu, tena wengine hata miezi mitatu inakuwa haijafika na unafunga nae ndoa. Kwanini mnafanyaga hivi?
Mwanaume mpaka anao ujue haja kurupuka lazima anakua na wapenzi zaidi ya mmoja kwahiyo we unaweza kuzani mwanamke alio muoa walikutana si chini ya miezi sita, Pia tunapima tabia kuna wanawake hawaheshimu Wanaume kutoka na malezi yao utakuta msichana ana watukana Kaka zake.
 
Back
Top Bottom