ngakotecture
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 2,569
- 2,847
HahhhahhhaHVp inapunguza unene?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahhhahhhaHVp inapunguza unene?
Sent from my iPhone using JamiiForums
5000.Weka bei
Sent using .... who cares anyway
Si bora kutengeneza tu.5000.
Glass kubwa.glass ndogo 2500
Ukiweka tangawizi na asali mambo yanakuwa mukidee
Kama kwenye avata ni wewe hata Mimi nitahitaji hio hudumaNajishughulisha na uuzaji wa huo mchanganyiko tajwa hapo.
Karibuni tuna delivery kote nchini TANZANIA.
karibuni
Hii unatengeza mwenyewe viagra hyo atakutilia nani..?wajanja wanaweka viagra umo wanapiga wajinga
Ongeza karanga
Unatengeneza mwenyewewajanja wanaweka viagra umo wanapiga wajinga
Kiukweli mimi sikutumia vipimo maalumu,gasgas, Nipe Mchanganuo,
Kama unahitaji Juice ya Ujazo wa Chupa ya Darasa Unatumia Vitunguu Vingapi na Tangawizi Ngapi na Ujazo kiasi Gani Wa Asali Ili kupata Uwiano Mzuri na juice yenye ubora?