Wanaume, kati ya hawa yupi mnampenda kwa moyo?

Wanaume, kati ya hawa yupi mnampenda kwa moyo?

Wanaume je kati ya Hawa mnapenda Kwa moyo nani.

Mrefu mwembamba ,
Mrefu mweupe mwembamba
Mweusi mrefu mwembamba
Au saizi ya kati mweupe mwembamba
Saizi ya kati mnene mwenye shepu mweupe

Au mweupe mfupi mnene au mweusi mfupi mweupe mwembamba , au mfupi mweupe mnene , ?? Ugonjwa uko wapi??


Wadada je unataka mtu mrefu mweupe mwembamba au mweusi mrefu mwembamba au mweusi mnene , au mweupe mnene , au body fighters mweusi mwembamba, ugonjwa wako uko wapi??😁
Mweusi mrefu size ya kati; hakuna nje cup hapo
 
Wanaume je kati ya Hawa mnapenda Kwa moyo nani.

Mrefu mwembamba ,
Mrefu mweupe mwembamba
Mweusi mrefu mwembamba
Au saizi ya kati mweupe mwembamba
Saizi ya kati mnene mwenye shepu mweupe

Au mweupe mfupi mnene au mweusi mfupi mweupe mwembamba , au mfupi mweupe mnene , ?? Ugonjwa uko wapi??


Wadada je unataka mtu mrefu mweupe mwembamba au mweusi mrefu mwembamba au mweusi mnene , au mweupe mnene , au body fighters mweusi mwembamba, ugonjwa wako uko wapi??😁
Above all... MWANAUME MASHINE
 
Wanaume je kati ya Hawa mnapenda Kwa moyo nani.

Mrefu mwembamba ,
Mrefu mweupe mwembamba
Mweusi mrefu mwembamba
Au saizi ya kati mweupe mwembamba
Saizi ya kati mnene mwenye shepu mweupe

Au mweupe mfupi mnene au mweusi mfupi mweupe mwembamba , au mfupi mweupe mnene , ?? Ugonjwa uko wapi??


Wadada je unataka mtu mrefu mweupe mwembamba au mweusi mrefu mwembamba au mweusi mnene , au mweupe mnene , au body fighters mweusi mwembamba, ugonjwa wako uko wapi??😁
Shosti, unataka ukafanyiwe upasuaji wa kuongeza urefu?
 
Wanaume je kati ya Hawa mnapenda Kwa moyo nani.

Mrefu mwembamba ,
Mrefu mweupe mwembamba
Mweusi mrefu mwembamba
Au saizi ya kati mweupe mwembamba
Saizi ya kati mnene mwenye shepu mweupe

Au mweupe mfupi mnene au mweusi mfupi mweupe mwembamba , au mfupi mweupe mnene , ?? Ugonjwa uko wapi??


Wadada je unataka mtu mrefu mweupe mwembamba au mweusi mrefu mwembamba au mweusi mnene , au mweupe mnene , au body fighters mweusi mwembamba, ugonjwa wako uko wapi??😁
mweusi ,thin waist, bubble but, baby hair, matiti madogo, mguu afu katikati ya mapaja kuwe kama kuna ki v fulani hivi,,,,
 

Attachments

  • type.PNG
    type.PNG
    119.3 KB · Views: 6
  • typ.PNG
    typ.PNG
    103.1 KB · Views: 6
  • come.PNG
    come.PNG
    46.2 KB · Views: 7
Mwanaume cha muhimu anayejitambua ni mwanaume, anayajua majukumu yake, anayejali na kuthamini baaasssss. Sura sjui urefu, ufupi, rangi hizo ni preferences za wasichana wa secondary
 
hayo matumbo ya kitimoto umeyasahau..

toto moja colour pale chocolate
height CM 150,nyonyo highwings, lips sepetu,jicho delila, tako lenye venus holes,guu shampaine na vidole laini.
 
Back
Top Bottom