Wanaume kujichubua/kutumia vipodozi au Mikorogo

Wanaume kujichubua/kutumia vipodozi au Mikorogo

ongezea na ngolo kante

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna genetics issues na environmental issues. Kuna watu wanajikuta ni weusi kwa sababu ya kazi anazofanya na mazingira anayoishi.

Mfano watu wanaofanya kazi za kukata mkaa, kuna ile unashinda juani na mivumbi hata uangavu wa sura hauonekani, siku mazingira yakichange, lazima na sura iwe angavu. Hata kama ni weusi unakuwa ule wa angavu.
 
Kuna genetics issues na environmental issues. Kuna watu wanajikuta ni weusi kwa sababu ya kazi anazofanya na mazingira anayoishi.

Mfano watu wanaofanya kazi za kukata mkaa, kuna ile unashinda juani na mivumbi hata uangavu wa sura hauonekani, siku mazingira yakichange, lazima na sura iwe angavu. Hata kama ni weusi unakuwa ule wa angavu.
sasa hapa tunazungumzia kujichubua boss, kutoka pure black to white, sawa alafu naona unawatetea sana we mmoja wao nini??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna genetics issues na environmental issues. Kuna watu wanajikuta ni weusi kwa sababu ya kazi anazofanya na mazingira anayoishi.

Mfano watu wanaofanya kazi za kukata mkaa, kuna ile unashinda juani na mivumbi hata uangavu wa sura hauonekani, siku mazingira yakichange, lazima na sura iwe angavu. Hata kama ni weusi unakuwa ule wa angavu.

So mkuu ule weusi wa Ngolo Kante unauona ni angavu sio?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
So mkuu ule weusi wa Ngolo Kante unauona ni angavu sio?


Sent from my iPhone using JamiiForums

Labda nimeshindwa kuelezea katika mfumo ambao utanielewa, exceptions huwa lazima ziwepo.

Jiangalie wewe alivyokuwa kitaa na baada ya kuanza kazi kula vitu vya mafuta, kuiga mara mbili kwa siku, unafanya kazi kwenye kiyoyozi, unatembelea kwenye gari lako hukutani na vumbi, etc bado unafanana vilevile?
 
WhatsApp Image 2019-02-03 at 14.04.38.jpeg
 
Labda nimeshindwa kuelezea katika mfumo ambao utanielewa, exceptions huwa lazima ziwepo.

Jiangalie wewe alivyokuwa kitaa na baada ya kuanza kazi kula vitu vya mafuta, kuiga mara mbili kwa siku, unafanya kazi kwenye kiyoyozi, unatembelea kwenye gari lako hukutani na vumbi, etc bado unafanana vilevile?

Daah mkuu mimi niko vilevile na hata ndugu zangu/marafiki zangu tulio kua wote hakuna aliyekua mweupe zaidi ya kurefuka na kunenepa mwili tu kiongozi.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Daah mkuu mimi niko vilevile na hata ndugu zangu/marafiki zangu tulio kua wote hakuna aliyekua mweupe zaidi ya kurefuka na kunenepa mwili tu kiongozi.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Na hujawahi kuona wanaobadilika bila kujichubua?

Umeshawahi kuwa karibu na watu wanaofanya shughuli za kuchoma mkaa?
 
Na hujawahi kuona wanaobadilika bila kujichubua?

Umeshawahi kuwa karibu na watu wanaofanya shughuli za kuchoma mkaa?

Na sijawahi kuona aliyetoka kwny weusi kwenda weupe sababu ya mazingira mazuri(kiyoyozi,vyakula vya mafuta etc).

Hapana sijawahi kuwa nao karibu,vipi watu wanaofanya kazi kwny saloon za kike ushawahi kuona wanavyobadilika?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Na sijawahi kuona aliyetoka kwny weusi kwenda weupe sababu ya mazingira mazuri(kiyoyozi,vyakula vya mafuta etc).

Hapana sijawahi kuwa nao karibu,vipi watu wanaofanya kazi kwny saloon za kike ushawahi kuona wanavyobadilika?


Sent from my iPhone using JamiiForums

The way inavyoenda hii argument haioneshi kuisha.

Mimi nakubali 100% kwamba kuna wanaojichubua, at the same time kuna ambao rangi inang'ara kwa sababu ya kubadili mazingira.

Nitabaki na msimamo wangu, na sikulazimishi kukubaliana nao kama vile ambavyo hunilazimishi kukubaliana na msimamo wako.
 
Back
Top Bottom